Tajiri ana deka 😄Nasimama na INEOSView attachment 3652385
Na unaamink hivo ? Project haikwepeki lasivo ukapigwe pesa na vile wanajua mnashidaSihitaji uvumilivu wa project ya arsenal, uwepo man u
INEOS walisema project ni either msimu huu au ujao tuchukue EPL
Tupo vizuri
Ukiachana na kuwa injury lakini performance yake overall ilikuwa ni mbovu ya msimu uliopita sijui management ya man u wamezingatia Nini mpaka kutoa hiyo helaManchester united wanakaribia kumsajili kiungo wa brighton carlos baleba. Huyu bwamdogo siyo player mbaya ila injury record yake kwa msimu uliopita ilikuwa inatisha, nafikiri ndiyo maana man utd walidanda kwa midfielders wengine.
Kabla ya kufanya sajili huwa scouts na boards wanafanya analysis ya mchezaji wanaemtaka interms of perfomance,injury records,intensity ya mchezaji kulingana na falsafa za klabu, pamoja na price.
Carlos baleba alikuwa na injury record mbaya na hii inanipa mashaka kama atakuwa na fitness ya moja kwa moja kutokana na kukosekana kwake uwanjani mara kwa mara, technical bench wanatakiwa kuhakikisha wanaboresha kiwango cha bwamdogo santos kwasababu dogo naona ana fitness sana kuliko baleba, ili baleba awe kama backup.
Man u wanafanya huu usajili kwa kuondoa lawama tu, bora wangeenda kutoa £70 kwa manu kone angalau ungekuwa usajili wa uhakika zaidi.
Sasa hivi transfer market iko inflated sana kiasi kwamba mchezaji wa thamani ya £40 anaweza kuuzwa kwa £70+ si kwasababu ya quality na performance ya mchezaji bali kwasababu ya trending. Mfano ni matheus fernandezUkiachana na kuwa injury lakini performance yake overall ilikuwa ni mbovu ya msimu uliopita sijui management ya man u wamezingatia Nini mpaka kutoa hiyo hela
Mashabiki wenzangu tuache lawama. Baleba ni premier league proven huwezi mfananisha na Kone. Wachezaji wengi kutoka Italy wamekuwa wakiflop premier mfano Damian, Zerzkee, Pogba, Hodjlund na wengine wengi.Sasa hivi transfer market iko inflated sana kiasi kwamba mchezaji wa thamani ya £40 anaweza kuuzwa kwa £70+ si kwasababu ya quality na performance ya mchezaji bali kwasababu ya trending. Mfano ni matheus fernandez
Sasa ukija kwa baleba msimu wa 24/25 alikuwa na perfomance nzuri labda sokoni angekuwa na thamani ya £60-65, lakini kwa msimu jana kwa hiyo price ya £65 ni kama man utd wamefanya kubet ila kiwango chake hakikuridhisha kabisa, wangeongeza £5 wamchukue yule manu kone ingekuwa bomba sana, yule manu kone angeoperate kama prime bisuma yule wa spurs, man u kwenye midfield wangekuwa hawashikiki.
Mashabiki wenzangu tuache lawama. Baleba ni premier league proven huwezi mfananisha na Kone. Wachezaji wengi kutoka Italy wamekuwa wakiflop premier mfano Damian, Zerzkee, Pogba, Hodjlund na wengine wengi.
Baleba ndoto yake ni kucheza utd na inawezekana hakucheza kwa moyo baada ya club yake kumbania kuja utd.
Huyu tushamchukua wala uswaze hela umri wake ni 22yrsBlaza shida ni bei yake . Soma hapo 60 yenyewe wanasema haitosh
Huyu tayari tushampata bado kana maingizo ma2 au ma 3 tushushe pressure.Hakikisheni mnampata Baleba. Hii ligi si mchezo. Atawasaidia sana.
Huyu tushamchukua wala uswaze hela umri wake ni 22yrs
Mkuu wewe timi gani kwani maan msimu uliopita Carrick kawaparaza big six wote na kikosi kile na alichukua point nyingi kulikobkocha yoyoye EPL maana yake tungefukuza Amorim mapema huenda tungebeba ubingwa, mpira sio maneno ni data.Mda utaongea.
Ila my point is mkiendelea na sajili za hivi sijui mtafika wapi.
Sikatai mafanikio ya msimu jana, na yasifanye upofu.Mkuu wewe timi gani kwani maan msimu uliopita Carrick kawaparaza big six wote na kikosi kile na alichukua point nyingi kulikobkocha yoyoye EPL maana yake tungefukuza Amorim mapema huenda tungebeba ubingwa, mpira sio maneno ni data.
Hii ndio squad yenu kaka. Magoli mtapata shida itakuja kwenye kuyadefend.Mkuu wewe timi gani kwani maan msimu uliopita Carrick kawaparaza big six wote na kikosi kile na alichukua point nyingi kulikobkocha yoyoye EPL maana yake tungefukuza Amorim mapema huenda tungebeba ubingwa, mpira sio maneno ni data.
Sasa squad depth ndiobinaundwa msimu mmoja? Nyie iliwachukua misimu mingapi kupata hiyo squad depth?Sikatai mafanikio ya msimu jana, na yasifanye upofu.
Kulikuwa na game ngapi kwa week ?Ilikuwa weekend mpaka weekend. Recovery time ilikuwepo. Msimu huu ni tofauti kaka.
kumbuka Msimu huu ni bandika bandua.
My point is ili kuchallange epl lazima uwe na squad depth mzee. Labda kama unataka draw za kutosha.
Mimi Gunners mkuu.
Ni kweli ilichukua misimu mingi ila kulikuwa na nidhamu ya usajili pamoja na malengo yanayo onekana.Sasa squad depth ndiobinaundwa msimu mmoja? Nyie iliwachukua misimu mingapi kupata hiyo squad depth?