Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama tunavyofahamu Casemiro ataondoka mwisho wa msimu na kuna hitajika Replacement yake/zake za Lazima , hivyo basi hao hapo chini ni Baadhi ya makinda wanaonekana wanao huo uwezo wa kujazilizia Pengo la Casemiro kulingana na ufanisi waliopo nao kwa kila mmoja hapo kwenye picha.

Mimi naanza na 𝐁𝐀𝐋𝐄𝐁𝐀, π“πŽππ€π‹πˆ & π„πƒπ„π‘π’πŽπ.

Je, ni watu/mtu gani unaona ni sahihi kutia maguu kuja kutumikia chama?..?
 
Tonali binafsi naona ndio best option lkn wakija na Baleba itafaa sana, Kisha tupate striker, winger Moja, na beki Moja RB
 
Tonali binafsi naona ndio best option lkn wakija na Baleba itafaa sana, Kisha tupate striker, winger Moja, na beki Moja RB
Tatizo ni kwamba akija kocha mpya, atakuja na machaguo yake mengine kabisa kiasi kwamba hata Bruno ataonekana hafai mfumo wake. Atahitaji 10 mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…