christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Kocha analakujifunza asirudie tena kutewekea wachezaji garasa kama Maino, Urgate na Dorku.Ila Dorgu 🤔
Rudini wajumbe rudini ile ratiba waliosema ni ngumu imekua laini kwa amorinRudini nyumbani kumeanza kunoga
Wale Liverpool wametuamsha usingizini tuanze harakati za top four sasa
Hahaha kabisaRudini wajumbe rudini ile ratiba waliosema ni ngumu imekua laini kwa amorin
Wale wazee wa kazi wanabalaa lao, unaweza tapika nyongo si kwa ule msakoNiliwahi sema humu utd hatukuwahi kuwa na tatizo kubwa la kiungo wala beki, tatizo letu kubwa lilikuwa na goli kipa na wachezaji wavivu wavivu hasa washambuliaji na hawakuwa timu player kama Hamad, kwa sasa tunao wazee wa kazi kule mbele shughuli tunaiona.
Watu walipiga kelele sana wakati madogo wanatolewa, lakin wale ni sehem ya tatizo. Walijikuta miungu watuHii ndio utd ninayo ifahamu sasa workrate ya wachezaji ipo juu mno leo naona Brighton kila wakigusa mpira wanaweweseka maana wachezaji wa utd wanafika kwelikweli.
Tulifikia pabaya sana yaani utd ni yakutunishiwa msuli na Sancho, Rashford na Garnacho kweli? Naamini sasa walipo wanajuta kucheza na brand ya utd.
Mwamba kapunguza uzito haraka
Boss mkuu, CEO Omar berrada alisema united tunatengeneza timu ya kuchukua EPL 2028Msimu ujao nagombea ubingwa
Ww fala kuna muda huwa sio mshangiliaj, huwa unazungumzia mpira kiuhalisia.Ile mechi mlitupiga sana msako
Ndio ujue kule benchi hatuna sub za maana inabidi usajili ufanyike tenaTusogee mdogo mdogo, tukomae na mechi zetu...Before dakika za sabini pale mbele palikuwa pa Moto kweli kweli, Mbeumo, Cunha tuombe wasiumie waepushiwe na majeraha, inabidi tuzidi kupata momentum...hawa wawili hata wakiwa na game mbaya ni tofauti na wale walioondoka...
Jamaa walikuwa wanakuja kwenye zile DK za jioni Hadi unaogopa.