Manchester United (Red Devils) | Special Thread

🎙 " Kama Glazers wangenambia nimfukuze kazi Reben Amorim nisingeweza kufanya hivyo bali ningeomba wampe muda zaidi".

" Ruben Amorim hajapata muda wakutosha kuunda timu yake bora Anahitaji muda angalau miaka mitatu kutupa mafanikio"..

" Vyombo vya habari vya Uingereza sivielewi vinataka nini kwani wanaamini mafanikio huja kama swichi ya Umeme ukiwasha tu Mwanga unatokea, Huwezi kuendesha timu kama Man United ukasikiliza hisia za waandishi wa habari hautafanikiwa kwa hilo"

🗣️ Sir Jim Ratcliffe
 
Ikiwa vizuri nitarudi kuishangilia, ila kwa sasa ni upuuzi tu.
 
Glory days are coming mkuu. Usiwe kama masingeli wa arsenal.
Naingoja kwa ham.
Maana tangu Manchester United iwe mbovu nashindwa kufatilia mpira kwa ujumla.
Hata UCL miaka ya siku hizi siifatilii.

Naomba sana chama langu lirudi kwenye ubora, lakini sioni matumaini.
 
Kwa sababu kama zako, jukwaa limewapoteza malejendari wengi sana, wengine hadi ID wamebadilisha kabisa
Naingoja kwa ham.
Maana tangu Manchester United iwe mbovu nashindwa kufatilia mpira kwa ujumla.
Hata UCL miaka ya siku hizi siifatilii.

Naomba sana chama langu lirudi kwenye ubora, lakini sioni matumaini.
 
Endeleeni kutuwakilisha makamanda, sie wengine tuna myoyo ya plastic.
Chama likirudi kwenye ubora, tutakua wote.
Mchizi boti unayumba, mwanaume akimbii majukumu, kuwa shabiki la manyumbu ni jukumu lako hivyo usikimbie,, hahaha hili timu ndio ulilipenda hivyo kifa naloo haha mchizz botiiiiii
 
Mchizi boti unayumba, mwanaume akimbii majukumu, kuwa shabiki la manyumbu ni jukumu lako hivyo usikimbie,, hahaha hili timu ndio ulilipenda hivyo kifa naloo haha mchizz botiiiiii
Timu ni mbovu kwa sasa na hata suruhu ya hilo tatizo haijulikani.
Tushabadili Makocha, wachezaji mpaka benchi la ufundi na uongozi kwa ujumla, lakini ngoma ngumu.

Kwakua sina uvumilivu ndio maana siangalii mezi za timu yangu.
Ila mimi ni United mwanzo mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…