Saaba. Kama si nane au sita.
Unajua ameshika nafasi ya nne na kwenda UCL?
Unajua iliitoa Everton kutoka kwenye timu iliyokuwa ikifight relegation kila msimu kabla yake?
.....aaaahhh kaka, tafuta Mbu na um quote alipoandika ubingwa ni wetu!
Am a realist maazeee,....
Optimists ndio waliodhani huenda kwa matokeo yale tungechukua ubingwa...
Anyway, je....weye #Bingwa mtetezi na #TheChoosenOne wenu kweli ulitegemea Kuwa hapo mlipo kweli?
#MosKwito !
Dk ya 81 wao 2 sisi bado
Vumilieni mtafanikisha, vp kwani zile dakika zenu bado??
Sema ukweli, sikuwa na matumaini ya ubingwa mwaka huu..zaidi ya angalau kuwa ndani ya nafasi nne za juu...
Na sikutegemea kuwa nafasi ya saba...
Ndiyo maana nikasema, msimu huu tumefail...
Tunajipanga kwa msimu ujao...ndio maana sasa kwa hali ilivyo, sitaki hata Europa..
natambua kashika nafasi ya nne mara 1 na bahati mbaya hakushiriki UCL kutokana na Liverpool kuingia kama bingwa mtetezi msimu uliofuata so hayo ndiyo mafanikio yake makubwa kinyume na hapo ameisaidia everton kuwa timu ya kati.
Ndio ukubwa huo mkuu. Kubali yaishe
Angalia hizi...
http://www.barriesview.com/2013/03/david-moyes-statistics-at-everton
http://www.sbnation.com/soccer/2013/5/9/4311764/david-moyes-everton-retrospective
Sema ukweli, sikuwa na matumaini ya ubingwa mwaka huu..zaidi ya angalau kuwa ndani ya nafasi nne za juu...
Na sikutegemea kuwa nafasi ya saba...
Ndiyo maana nikasema, msimu huu tumefail...
Tunajipanga kwa msimu ujao...ndio maana sasa kwa hali ilivyo, sitaki hata Europa..
Duh! Chifu, kama hujui sema usaidiwe...
Everton 2004, walishiriki qualifying round ya kwanza UCL na kutolewa na Villareal...
Unajua alipoitoa Everton?
Ndio maana wanaopiga kelele eti /moyes aondoke ManU hawajui soka.Watu wanasahau Moyes alipoitoa Everton na kumpa credits zote Martinez, aliyeishusha daraja Wigan!!
Je, siku Wenger akiondoka goons, halafu akaja kocha na kuchukua makombe matatu msimu wa kwanza, mambo aliyofanya Wenger yatasahaulika?
dk zipi tena mkuu?