π€£π€£π€£ Ila allypipi akipigwa vizuri atesema hua anapewa kiasi gani na muhindi, maana sio kwa kuwachania watu mikeka yao kiasi hiki.Barobaro boys leo tena kukiwasha
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha π π
Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3
Watapigwa sana wale wakora
Tatizo kumbe lilianzia hapaπππBarobaro boys leo tena kukiwasha
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha π π
Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3
Watapigwa sana wale wakora
No the problem is allypipi's predictionsππThis team is cursed, changing coaches will not address your weaknrss
Kumbe tatizo siyo Onana?Enough is enough! Amorim kiburi kinamponza, atupishe
And vice versa is true.Barobaro boys leo tena kukiwasha
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha π π
Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3
Watapigwa sana wale wakora
Hiki ni kikundi cha ngomaTuseme inshallah, man u hii kama kobisi tu ππ makaveli10
Upewe maua yako,Huwa unatusaidia sana, ila kuna timu nyingine huwa zinatuangusha pia.Barobaro boys leo tena kukiwasha
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha π π
Prediction
Brentford 1 vs Manchester united 3
Watapigwa sana wale wakora
Pamoja na AllypipTunaomba Kocha wa Manchester United asifukuzwe tafadhali
Eti wapinzani watatishika kakuongopea nani izo pigo zilikua zamani tu fergie kasepa nazo sasa hivi hapo epl haogopwi mtu yoyote ukiyakanyaga unakandwa tuTimu kufungwa wala sio tatizo ila sasa tunachezaje? Yaani mpira hauvutii, hatucreat nafasi yaan ni kama wachezaji huwa wanaenda uwanjani kuzuia. Hii timu inahitaji kocha mwenye rekodi ya kutisha EPL hasa kutoka utd kam Van Nestroy kiasi kwamba wapinzani tu watatishika kabla ya kuingia uwanjani.
Shida ni nini saikolojia ama maana hii timu ni kubwa kuliko wao wanavyofikiria kabla hawajasajiliwaHii timu ni mbovu yote kuanzia kocha hadi mchezaji mmoja mmoja. Bruno tutambebesha mzigo tu.
Mchezaji akipata mpira huoni akiwa na njaa ya kutengeneza nafasi, wote wanatetemeka miguu, waoga, wazito ni kama wana msongo wa mawazo timu nzima.
Kocha mwenye akili zako timamu unaanza na Luke Shaw kama beki wa kati? tena pacha na Maguire ????Tatizo la utd ya sasa ni kocha na wala sio wachezaji. Ubora wa Mdeumo, Cunha na Sesko unafahamika ila kwa sasa hakuna wanachocheza, kifupi ni kuwa wachezaji hawafurahi nfumo wa kocha ni kama unawanyima kucheza. Kwa hawa wachezaji wa sasa tukipata kocha mwenye DNA ya utd kama Rud van Nestroy tunarud kweny heshima yetu.
Timu inatrain kwa level ya timu za League One au Serie B.Shida ni nini saikolojia ama maana hii timu ni kubwa kuliko wao wanavyofikiria kabla hawajasajiliwa
Hata huyo atakaekuja ataondoka piaNi kweli Amorim kaondoka?
Na kalipwa Pound 12 Million.?