Aisee, ni heri hata Europa tukose, pengine tujipange. Maana ratiba ya Europa ni ngumu, ipo crowded na timu inasafiri sana; huku zawadi ya mshindi ni kiduchu.
Mliingia kwa malengo ya kushinda baada ya kubanduliwa tumagoli tuwili mnaanza na stori za Boraa sasa kupigwa mnapigwa na top 4 everton haendi, na ndio hapo watu watakapoumia mara 2.
Mliingia kwa malengo ya kushinda baada ya kubanduliwa tumagoli tuwili mnaanza na stori za Boraa sasa kupigwa mnapigwa na top 4 everton haendi, na ndio hapo watu watakapoumia mara 2.