Mbabani JF-Expert Member Joined Jun 20, 2022 Posts 2,369 Reaction score 6,717 Aug 24, 2025 #207,361 Sesko ameenzia benchi tena, alisajiliwa wa nini sasa kmmk
Mbabani JF-Expert Member Joined Jun 20, 2022 Posts 2,369 Reaction score 6,717 Aug 24, 2025 #207,362 🏴 Fulham XI: Leno; Tete, Andersen, Bassey, Castagne; Berge, Lukic; Sessegnon, King, Iwobi; Muniz 🏴 Man Utd XI: Bayindir; Yoro, De Ligt, Shaw; Amad, Casemiro, B. Fernandes, Dorgu; Mount, Cunha; Mbeumo
🏴 Fulham XI: Leno; Tete, Andersen, Bassey, Castagne; Berge, Lukic; Sessegnon, King, Iwobi; Muniz 🏴 Man Utd XI: Bayindir; Yoro, De Ligt, Shaw; Amad, Casemiro, B. Fernandes, Dorgu; Mount, Cunha; Mbeumo
allypipi JF-Expert Member Joined May 10, 2020 Posts 3,322 Reaction score 10,887 Aug 24, 2025 #207,363 Ni leo tena watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka kuja kuwapea kichapo cha aina yake hawa vijana. Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 My prediction Fulham 0 vs Manchester united 4 Watapigwa sana wale vijana💪👹👹
Ni leo tena watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka kuja kuwapea kichapo cha aina yake hawa vijana. Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 My prediction Fulham 0 vs Manchester united 4 Watapigwa sana wale vijana💪👹👹
B Baluma JF-Expert Member Joined Jul 4, 2020 Posts 875 Reaction score 2,397 Aug 24, 2025 #207,364 allypipi said: Ni leo tena watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka kuja kuwapea kichapo cha aina yake hawa vijana. Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 My prediction Fulham 0 vs Manchester united 4 Watapigwa sana wale vijana💪👹👹View attachment 3451398 Click to expand... Ashatia timu jamaa yenu.
allypipi said: Ni leo tena watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka kuja kuwapea kichapo cha aina yake hawa vijana. Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 My prediction Fulham 0 vs Manchester united 4 Watapigwa sana wale vijana💪👹👹View attachment 3451398 Click to expand... Ashatia timu jamaa yenu.
Greatest Of All Time JF-Expert Member Joined Jan 1, 2017 Posts 25,012 Reaction score 56,294 Aug 24, 2025 #207,365 Sesko ameanzia bench tena🥶
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,582 Reaction score 19,225 Aug 24, 2025 #207,366 allypipi said: Ni leo tena watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka kuja kuwapea kichapo cha aina yake hawa vijana. Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha My prediction Fulham 0 vs Manchester united 4 Watapigwa sana wale vijanaView attachment 3451398 Click to expand... Haupingwi mkuu
allypipi said: Ni leo tena watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka kuja kuwapea kichapo cha aina yake hawa vijana. Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha My prediction Fulham 0 vs Manchester united 4 Watapigwa sana wale vijanaView attachment 3451398 Click to expand... Haupingwi mkuu
Forgotten JF-Expert Member Joined Jul 20, 2018 Posts 3,630 Reaction score 11,096 Aug 24, 2025 #207,367 Huu mpira wa kisasa umekuja kuwa wa kingese kweli... mchezaji anasajiliwa zaidi ya wiki mbili anafanya training halafu anaanzia bench kmk. Wiki ya kwanza ukiuliza unaambiwa fitness, gameweek 2 yupo tena bench... utaambiwa anazoea mfumo wa kocha. Mpira umekuja kuwa na ungese-ungese sana, details nyingi halafu uwanjani hamna kitu. Striker ni moja ya position sioni utofauti kwenye majukumu yao, ila ungese wa modern football mpaka striker ameongezewa majukumu.
Huu mpira wa kisasa umekuja kuwa wa kingese kweli... mchezaji anasajiliwa zaidi ya wiki mbili anafanya training halafu anaanzia bench kmk. Wiki ya kwanza ukiuliza unaambiwa fitness, gameweek 2 yupo tena bench... utaambiwa anazoea mfumo wa kocha. Mpira umekuja kuwa na ungese-ungese sana, details nyingi halafu uwanjani hamna kitu. Striker ni moja ya position sioni utofauti kwenye majukumu yao, ila ungese wa modern football mpaka striker ameongezewa majukumu.
Bagabeach JF-Expert Member Joined Jun 30, 2021 Posts 1,351 Reaction score 2,786 Aug 24, 2025 #207,368 Hii game inabidi tushinde ili mentally tule sawa
Papaa Gx JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 11,508 Reaction score 18,667 Aug 24, 2025 #207,369 Sasa unataka huyu fundi wa mpira ndio akae benchi? Forgotten said: Huu mpira wa kisasa umekuja kuwa wa kingese kweli... mchezaji anasajiliwa zaidi ya wiki mbili anafanya training halafu anaanzia bench kmk. Wiki ya kwanza ukiuliza unaambiwa fitness, gameweek 2 yupo tena bench... utaambiwa anazoea mfumo wa kocha. Mpira umekuja kuwa na ungese-ungese sana, details nyingi halafu uwanjani hamna kitu. Striker ni moja ya position sioni utofauti kwenye majukumu yao, ila ungese wa modern football mpaka striker ameongezewa majukumu. Click to expand...
Sasa unataka huyu fundi wa mpira ndio akae benchi? Forgotten said: Huu mpira wa kisasa umekuja kuwa wa kingese kweli... mchezaji anasajiliwa zaidi ya wiki mbili anafanya training halafu anaanzia bench kmk. Wiki ya kwanza ukiuliza unaambiwa fitness, gameweek 2 yupo tena bench... utaambiwa anazoea mfumo wa kocha. Mpira umekuja kuwa na ungese-ungese sana, details nyingi halafu uwanjani hamna kitu. Striker ni moja ya position sioni utofauti kwenye majukumu yao, ila ungese wa modern football mpaka striker ameongezewa majukumu. Click to expand...
Flano JF-Expert Member Joined Aug 7, 2019 Posts 5,842 Reaction score 16,292 Aug 24, 2025 #207,370 allypipi said: Ni leo tena watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka kuja kuwapea kichapo cha aina yake hawa vijana. Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha My prediction Fulham 0 vs Manchester united 4 Watapigwa sana wale vijanaView attachment 3451398 Click to expand... Daaahhh ndio basi tena allypipi mwenetu kashatupiga kurujuani.
allypipi said: Ni leo tena watoto wa bwenyenye Sir Jim barobaro hawa wanashuka kuja kuwapea kichapo cha aina yake hawa vijana. Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha My prediction Fulham 0 vs Manchester united 4 Watapigwa sana wale vijanaView attachment 3451398 Click to expand... Daaahhh ndio basi tena allypipi mwenetu kashatupiga kurujuani.
King faisal JF-Expert Member Joined Jun 7, 2022 Posts 1,980 Reaction score 4,942 Aug 24, 2025 #207,371 Bruuuunooo na allypip mmeweka mikeka
N ndengisivilii JF-Expert Member Joined Jun 21, 2024 Posts 709 Reaction score 868 Aug 24, 2025 #207,372 Mechi ya Arsenal hawa Manure waliuma meno tuu..litimu bado lipo lipo
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,582 Reaction score 19,225 Aug 24, 2025 #207,373 Kuna uwezekano game ya man u vs arsenal, ni arsenal walicheza vibaya na sio vinginevyo
lukesam JF-Expert Member Joined Feb 23, 2015 Posts 13,197 Reaction score 28,079 Aug 24, 2025 #207,374 Timu yetu ni dhaifu mno. Katikati ya uwanja kuna tatizo la msimu kwa msimu.
W waleed012 JF-Expert Member Joined Jan 20, 2025 Posts 1,321 Reaction score 1,908 Aug 24, 2025 #207,375 Eti nyie mliozaliwa zamani hivi ni kweli hii timu iliwahi kutawala ligi ya england au ni uzushi tu
spidernyoka JF-Expert Member Joined Jan 2, 2020 Posts 8,029 Reaction score 21,527 Aug 24, 2025 #207,376 Nyumbu huyu kipa wenu program ya set pieces husuani Kona haipo kwenye mfumo wake ama?
mkorea JF-Expert Member Joined Aug 16, 2016 Posts 8,582 Reaction score 19,225 Aug 24, 2025 #207,377 Game na arsenal mazee mliikamia tu
T Timerlane JF-Expert Member Joined Aug 11, 2022 Posts 2,339 Reaction score 4,303 Aug 24, 2025 #207,378 Ngoja tusubiri gemu iishe, Hadi sasa halftime Jamaa wametukosakosa kweli kweli, baada ya zile DK 14 za mwanzo naona tukarudi chini hatutishi tena kwenye boksi. Let's wait and see.
Ngoja tusubiri gemu iishe, Hadi sasa halftime Jamaa wametukosakosa kweli kweli, baada ya zile DK 14 za mwanzo naona tukarudi chini hatutishi tena kwenye boksi. Let's wait and see.
Papaa Gx JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 11,508 Reaction score 18,667 Aug 24, 2025 #207,379 Hamna timu hapa
A arsenal2004 JF-Expert Member Joined Feb 12, 2023 Posts 2,328 Reaction score 4,315 Aug 24, 2025 #207,380 Flano said: Daaahhh ndio basi tena allypipi mwenetu kashatupiga kurujuani. View attachment 3451482 Click to expand... Mpira wa Bruno umenipita hapa maeneo ya gongo la mboto uko Kasi kwli😀😀😀....ile penalty yule lofa alikuwa anakusudia nn
Flano said: Daaahhh ndio basi tena allypipi mwenetu kashatupiga kurujuani. View attachment 3451482 Click to expand... Mpira wa Bruno umenipita hapa maeneo ya gongo la mboto uko Kasi kwli😀😀😀....ile penalty yule lofa alikuwa anakusudia nn