Unauhakika Gani na huyu mtusubiri acheze kwanza ndo utishie watu....bundesliga n matapeli sana aisee afu wanauza kwa bei kubwa
Ila flanoKwa mtu mwenye akili alikua anaona kabisa kua huo ni uwongo wa waziwazi.
Kudai timu haina hela wakati miezi mitatu iliyopita mashabiki walivyoanza kuchachamaa na kutaka Glazzers waachie timu, wao walikuja na plan ya kujenga uwanja mpya ili kupoza hasira za mashabiki, wakatuwekea mpaka mapichapicha ya muonekano wa uwanja jinsi utakavyokua, halafu leo wadai kua timu haina hela?
Kwa hio huo uwanja waliotaka kujenga wangeujenga kwa matakor yao?
Dah sio poa sijui liverkusen wameona nini kwake mpaka wakamchukua au ni FA na Carabao cup.King faisal
View attachment 3435885
10hag ni mngese tu ...mshenz mkubwa yule alituharibia timu...shenzi kabisa
Yeye si ndio alimuondoa huyo mchezaji ?Dah sio poa sijui liverkusen wameona nini kwake mpaka wakamchukua au ni FA na Carabao cup.
Uwanja haujengwi Kwa cash, ni letters of creditKwa mtu mwenye akili alikua anaona kabisa kua huo ni uwongo wa waziwazi.
Kudai timu haina hela wakati miezi mitatu iliyopita mashabiki walivyoanza kuchachamaa na kutaka Glazzers waachie timu, wao walikuja na plan ya kujenga uwanja mpya ili kupoza hasira za mashabiki, wakatuwekea mpaka mapichapicha ya muonekano wa uwanja jinsi utakavyokua, halafu leo wadai kua timu haina hela?
Kwa hio huo uwanja waliotaka kujenga wangeujenga kwa matakor yao?
According to fabrizio Romano dogo baleba yeye hana shida yupo open lakini pia yupo na nidhamu kubwa kwa club yake wala hawezi kufanya migomo yoyote ya kususa kama isak kwa Newcastle.Kwani msimamo wa Baleba ukoje kuhusu chama la dunia hadi sasa kwa wale wafuatiliaji wa mambo kama akina Samuel Luckhurst?
Hata ka picha kiongoziLeo tumezidua uwanja wa mazoezi uliofanyiwa marekebisho ya paun 50 million.
Thanks to CR7 for his criticism....
Let's build the momentum they will never see us coming.
GGMU
Tukiuza Anthony Kwa 45 million, garnacho 50 million, tunapata hela ya baleba...then GK nadhani bei zipo chini lzm tutasajili mfano de gea ni 15 million, Martinez 40 millioni na donaruma ni 45 million....wote hawa they can't say NO to man united...
I'm not sure but perhaps good days are coming