Ni kweli lakin ngoja tujipe mda tuone itakavyokua namini clu watalifanyia kazi hizi nafasi muhimu.Binafsi naonelea usajili wa kiungo mkabaji mzuri ni muhimu kuliko hata striker ili tuweze kupambania walau top 6 msimu utakapoanza.
Sababu kubwa ni kwamba waliopo kwenye nafasi ya kiungo mkabaji hawana consistency ya ubora kuanzia ugarte, Casemiro na yule dogo wa academy.
Kwenye nafasi ya ushambuliaji tayari tumeishafanya maboresho kiasi yanatia moyo kwa Mbeumo na Cunha.
Ili akina Maguire na Yoro wasichoke na miili yao mikubwa ile, tuwape back up ya combative midfielder halafu mengine tumuachie Mungu tu.
Hapo wamefanya vizury sana.Bora hata kaasajiliwa huko aende tu..ila ubingwa watausikia kwenye Bomba...
Naona leo timu yetu imetema watu zaidi ya wanne kwa mpigo...kwa lugha nyingine hawaitajiki...tupa kule
No, ni kikundi cha madalaliNauliza hii ni timu?
Bila kusajili namba 6 na namba 9 hakuna kitu kitabadilika.
Hivi hawa Barca wanataka output ya Rashford ndani ya uwanja au nje ya uwanja?
Kusema kweli Rashford style of play hafit kwenye mfumo wa Barca na Barca hawezi kubadili aina yao ya uchezaji kumu accomodate Rashy, so ni kwa sababu za kibiashara zaidi nadhani.
Huwajui waingereza wanavyojua kujipamba na media zao hata kama flopHuyo mpemba ana mvuto gani wa kibiashara?
Dah mkuu nataman sana tungekua na watu serious kama management ya Liverpool ..Yan wako very strategic sana...isak akitua pale itakua disaster ..naona ndoo ya epl inarud kule kule Liverpool ..fuentte felakuti Fabrizio anasema isak keshawambia huko Newcastle tayari kwamba anataka kwenda Liverpool kwahiyo tutegemee here we go soon. Management ya Liverpool hawana utani msimuu huu dah inabidi tuzibe nasie vilaka sehemu muhimu maana bila hivyo tutakuja kuzalilika vibaya mno tukikutana na Liverpool.
Ndio hivyo arsenal Ana hali ngumu sana, mancity cdhani tena kama atareta competition kwenye ubingwa wa ligi.Dah mkuu nataman sana tungekua na watu serious kama management ya Liverpool ..Yan wako very strategic sana...isak akitua pale itakua disaster ..naona ndoo ya epl inarud kule kule Liverpool ..
π¨π¨ ππππππππ: Manchester United will NOT join the race for Alexander Isak. Heβs seen as TOO EXPENSIVE. βNdio hivyo arsenal Ana hali ngumu sana, mancity cdhani tena kama atareta competition kwenye ubingwa wa ligi.
Ndio hapo namie nashindwa kuelewa mkuu yaani tunapitia kipindi kigumu sana, hata wachezaji wengi wazuri hawatutaki kabisa.π¨π¨ ππππππππ: Manchester United will NOT join the race for Alexander Isak. Heβs seen as TOO EXPENSIVE. β
Management inachekesha sana...Ina mana man u ni klabu maskin kwa sasa.mkuu.au sijaelewa
Bagabeach Flano ze-dudu Mbabani NtYga Greatest Of All Time. Mtie neno hapa kama sababu ni financial fair play au kuna tatizo lingine.π¨π¨ ππππππππ: Manchester United will NOT join the race for Alexander Isak. Heβs seen as TOO EXPENSIVE. β
Management inachekesha sana...Ina mana man u ni klabu maskin kwa sasa.mkuu.au sijaelewa
Viongozi wanasema hawana hela..Bila kusajili namba 6 na namba 9 hakuna kitu kitabadilika.
Wale jamaa msimu huu wako serious sana utadhani waliponea chupuchupu kushuka daraja.fuentte felakuti Fabrizio anasema isak keshawambia huko Newcastle tayari kwamba anataka kwenda Liverpool kwahiyo tutegemee here we go soon. Management ya Liverpool hawana utani msimuu huu dah inabidi tuzibe nasie vilaka sehemu muhimu maana bila hivyo tutakuja kuzalilika vibaya mno tukikutana na Liverpool.