Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Shida sio fedha, mipango mibovu.
 
Wakati Manchester United ikiangukia patupu msimu huu, kiungo waliyemuuza kwenda Napoli msimu uliopita, Scott McTominay ametangazwa kuwa mchezaji bora wa msimu huu wa Ligi Kuu ya Italia (Serie A) baada ya kuisaidia Napoli kutwaa ubingwa wa Serie A 2024/25.

McTominay ametwaa tuzo hiyo baada ya kufunga magoli 12 na kusaidia 'assist' mengine manne katika mechi 34 alizowachezea Mabingwa hao mara nne wa Serie A.

#sportsupdate
 

Attachments

  • FB_IMG_1748069329859.jpg
    226.6 KB · Views: 6
Saint Anne huwa anatuita sisi Gunners fungu la kukosa. Sijui nyie Nyumbuz atakuwa anawaitaje...
Aibu tupu kwa EPL nyie.
Asikwambie mtu maumivu ya Runner-up hua ni makali kuliko hata maumivu ya kushuka daraja, yaani hii hali tunayopitia kwa kukosa Europa najiuliza hapa hivi nyie Arsenyau mmewezaje kuvumilia maumivu makali kiasi hiki kwa misimu mitatu mfululizo?
Nilichojifunza kama binadamu kuna wakati inatakiwa tuwe na huruma japo kidogo kwa mashabiki wa Arsenyo.
 
One thing I love about uongozi wa Liverpool...sio hizi takataka zingine

View attachment 3343384
Kuweka logo ya hicho kikuku mbele ya sura ya mtu haina maana yoyote kwetu. Hiyo pesa ya kumnunulia ni Manyumbu na Chelkenge ndio wenye uwezo wa kuitoa. Liverpool wana Szobo na Macca tayari so hawatajihangaisha na huyu.
 
Kuweka logo ya hicho kikuku mbele ya sura ya mtu haina maana yoyote kwetu. Hiyo pesa ya kumnunulia ni Manyumbu na Chelkenge ndio wenye uwezo wa kuitoa. Liverpool wana Szobo na Macca tayari so hawatajihangaisha na huyu.
Upo dunia Gani wewe au upo usingizini watu washamaliza biashara
 
Upo dunia Gani wewe au upo usingizini watu washamaliza biashara
Eh. Kama kweli basi hongera kwao ila mpaka sasa sijaona chochote kinachoniaminisha kuwa dili limekamilika zaidi ya stori tu za mitandaoni ambazo ni kawaida kipindi kama hiki.
 
Eh. Kama kweli basi hongera kwao ila mpaka sasa sijaona chochote kinachoniaminisha kuwa dili limekamilika zaidi ya stori tu za mitandaoni ambazo ni kawaida kipindi kama hiki.
Sasa unataka atangazwe kwani ligi imeisha mzee kzi imeisha huyo kijana anacheza Liverpool Bayern walikua wanafuatilia pia raisi wao kasema wamemkosa mchana huu kaongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…