Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man united mbona tunachelewa kusajili hivi shida Huwa ni nini??
Na kwanini tunasajili wachezaji wazuri lkn wakija wanakuwa wabovu, shida nini??
Na makocha wakija wanafeli japo wanakuwa makocha Bora kabla yakuja kwetu??
Yaani nje ya mabosi ineos na glazer nini tatizo?? Make me siamini wanasababisha wachezaji washindwe kupiga hata pass.

TATIZO NI NINI???
naombeni Kila mtu atoe maoni yake wakuu
 
Kuna huyo mchezaji wenu Dorgu kama hakai ulaya vile!! Mvuta bangi sio mvuta bangi, mkabaji sio mkabaji yaani haeleweki. Mlimtoa mkoa gani?
Huyu jamaa ingawa ni improved version ya malacia, lakini mimi simuamini kuanza naye msimu mpya kama starter. Hana consistency kwenye defensive na offense.
Kumlaumu Amorin ni kumuonea bure tu
 
Manyumbu club yenu imekuwa academy kwa vilabu vingine. Naona kijana wenu Mason Greenwood kaibuka kuwa topscorer kule french ligue 1, Antony nae tayari sokoni kuna foleni
 
Mason Greenwood
Dean Henderson
Scott McTominay
Álvaro F. Carreras

Tumekosea wapi sisi!?
 
Wachezaji makatili kama Hawa hii timu haiwez kuwasjili kabisa .. wamezoea kusajili milenda milenda washenzi washenzi wapuuzi wenye vinasaba na British assholes ..
 

Attachments

  • 20250518_144343.jpg
    355.3 KB · Views: 8
Unamuangalia greenwood then unamuangalia hujlund unabaki kutikisa kichwa, hii timu haitakaa ifanikiwe Tena wallahi tukubali tu maumivu maana viongozi wamekua na maamuzi ya kipuuzi sana.
Washenzi tu wapumbavu sijui hua wanawaokota wapi ...maambwa tu hii timu nlimtamani ishuke daraja ili akili zitoke vinyesi walivyoweka humo kwenye ubongo
 
Walichofanya man city mwanzon kabisa wa kuanza kutafuta mafanikio na kuacha DNA British assholes stupid shit Britishers era, ndio tunatakiwa tufanye sisi. Walifanyaje? Tafuta ujue. Tofauti na hapo msimu ujao sio tena nafasi ya 16, tunashuka daraja.
 
Naweka Kambi hapa leo mpake kesho kutwa kama mambo hayatoharibika

Tottenham
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 1-1
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man United

Real Betis
1-2
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Chelsea

PSG
2-2
Inter Milan

Tottenham win on penalties.
Chelsea win normal time.
PSG win on penalties.
 
Tottenham
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 1-1
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man United

Real Betis
1-2
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Chelsea

PSG
2-2
Inter Milan

Tottenham win on penalties.
Chelsea win normal time.
PSG win on penalties.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…