Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,367
- 8,404
Ukiangalia spurs ina wababa sio poa sasa vichezaji vingi vya manchester ni kilo 40 kushuka chini😅😅Nyie Nyumbuzi hivi mnajua Spars wanalihitaji hilo kombe kuliko uhai?
Wale wasenge wanakimbia sio poa babu casemiro atatapishwa damu😅😅Ukiangalia ukuta wetu, kiungo chetu na safu yetu ya ushambuliaji ukajilinganisha na Spurs, unashindwa kujua tutafanya lipi la maana kumzuia asichukue ubingwa wa Europa.
Umeona kauli aliyotoa Ruben amorim, akiwa na paul Scholes old Trafford, baada ya mechi kuisha. Amesema kuingia fainali ya Europe na spurs siyo furaha kwake, bali furaha ni kuchukua kombe hilo kwa vyovyote vile. Haitakua na maana yoyote ile tusipo beba hilo kombe. Namie nina imani 100% spurs Anakufa hiyo 21 may pale estadio de san mames bilbao(spain).Kusema kweli mie sikupenda kukutana na Spurs fainali, anatuonea sana mechi za hivi karibuni.
Na nikikumbuka kauli ya kocha wao Ange kuwa huwa anashinda vikombe kuanzia msimu wa pili, nakata tamaa na hiyo fainali.
Anyway, vyovyote itakavyokuwa, tumefurahi Arsenal hawachezi fainali ya UCL msimu huu.
Niliona ameingia ubaridi alipokuwa anaongelea fainal😁Umeona kauli aliyotoa Ruben amorim, akiwa na paul Scholes old Trafford, baada ya mechi kuisha. Amesema kuingia fainali ya Europe na spurs siyo furaha kwake, bali furaha ni kuchukua kombe hilo kwa vyovyote vile. Haitakua na maana yoyote ile tusipo beba hilo kombe. Namie nina imani 100% spurs Anakufa hiyo 21 may pale estadio de san mames bilbao(spain).
Usiogope maana hadi kufika final tumepitia hard way hivyo spurs lazima tutampiga tu.Ukiangalia ukuta wetu, kiungo chetu na safu yetu ya ushambuliaji ukajilinganisha na Spurs, unashindwa kujua tutafanya lipi la maana kumzuia asichukue ubingwa wa Europa.
UnaotaNa bado fainali atajikata manyanga
Yulev mkorea san hacheki na kima😎
Spurs 4 - 2 vishetani😁
Subiria hiyo siku spurs wenu ataeleza kwanini bata huwa anaharisha maisha yake yote.Ukiangalia spurs ina wababa sio poa sasa vichezaji vingi vya manchester ni kilo 40 kushuka chini😅😅
Watapigwa msako sio poa
Hawezi kutufunga Mara tano mfululizo, hawatakuwa na James Madison na SonKusema kweli mie sikupenda kukutana na Spurs fainali, anatuonea sana mechi za hivi karibuni.
Na nikikumbuka kauli ya kocha wao Ange kuwa huwa anashinda vikombe kuanzia msimu wa pili, nakata tamaa na hiyo fainali.
Anyway, vyovyote itakavyokuwa, tumefurahi Arsenal hawachezi fainali ya UCL msimu huu.
Aisee hizi bangi 😂...ehee tia neno na kwa yule Rasta man mgogo dorgu?Bora watupe Inter Milan tucheze nae fainali, huyo Spurs mtakuja kusema humu kua tumemuonea tu.
Huyu Mason Mount tunawashukuru sana VIBONDE wetu Chelsea kwa kutuuzia Aiseeeh! Hata Lamine Yamal na mwenzie Bukayo Saka hawafikii hata nusu ya ubora wake... UEFA wanapaswa kuandaa special award kwa ajili yake... very gifted.
Manchester ina wachezaji wenye quality kubwa sana aiseeeh! Imagine hapo Amadinho Diallo kiwango anachokionesha ndio cha kutoka injury na yupo moto vile, msimu ujao mtaongea mengi sana humu....
Nyie Nyumbuzi hivi mnajua Spars wanalihitaji hilo kombe kuliko uhai?
Sawa khanji subiria hiyo final ndio utaona spurs atakachofanywa.Niliona ameingia ubaridi alipokuwa anaongelea fainal😁
Fainali angepewa upara bwana ten hag ilikuwa shetan anabeba ndooSawa khanji subiria hiyo final ndio utaona spurs atakachofanywa.
Hii mechi ni ngumu sana kwetu ila sio kesi itoshe kusema kuwa una roho mbaya sana nduguHii game West Ham washinde. Niliwatakia nyie mmalize nafasi ya 17, tena mpone kuwa 18 kwa goal difference tu, ili muwe na wakati mgumu wa kuponea chupuchupu kushuka daraja. Ila mmepona kwa points nyingi tu kuliko nilivyotaka lakini mpango mzima ni mmalize wa 17 halafu somehow pia mshinde Europa mje kule Champions League muwe mnagawa points 3 kwa kila mtayekutana nae.
Roho mbaya ipi mkuu wakati nataka mbaki EPL na msishuke daraja?Hii mechi ni ngumu sana kwetu ila sio kesi itoshe kusema kuwa una roho mbaya sana ndugu