Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wtf rice is doing here🤣🤣
 
Team la Dunia linakupa kila kitu kuanzia presha adi furaha😃😃😃
walinikera walipowekwa Goli nikaacha ku STREAM kwanza wasile Bundle langu Baadae Roho ikaniuma nikasema acha niwaangalie Tu Pimbi hawa nakuta 𝟐 - 𝟏 mala hapo hapo 𝟑 - 𝟏. sijui wanakuwaga wapi kuleta Furaha mpaka wastuliwe na kimoja 🤣🤣.
 
MISSION ACCOMPLISHED 🫡

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝐑𝐀🇵🇹
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨𓀃
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏➩
#𝙂𝙂𝙈𝙐💪🏿😶


𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐭𝐝 |
 
𝐂𝐚𝐬𝐞 and 𝐑𝐮𝐛𝐞𝐧 ❤️

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝐑𝐀🇵🇹
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨𓀃
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏➩
#𝙂𝙂𝙈𝙐💪🏿😶


𝐌𝐚𝐧 𝐔𝐭𝐝 |
Your browser is not able to display this video.
 
Me mwenyewe nimejitutumua kwenda banda umiza mpira wa first half nikasema bora ningelala tuu😃😃
 
Haina jinsi Bora wakafie uwanjani hiyo siku, wakijikaza kweli Spurs wanakufa, wakiamua wanachukua Hilo kombe lakini wakijifanya wanataka "Soni-mombo" basi tutalia. Take me home.
 
Haina jinsi Bora wakafie uwanjani hiyo siku, wakijikaza kweli Spurs wanakufa, wakiamua wanachukua Hilo kombe lakini wakijifanya wanataka "Soni-mombo" basi tutalia. Take me home.
Kwamba Tutalia 𝐓𝐀𝐊𝐄 𝐌𝐄 𝐇𝐎𝐌𝐄 🤗😃🤣.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…