Sema huyu refa wa leo akipigwa vizuri atasema tu kabatini kwake ana jezi ngapi za Utd, kwani FA hawawezi kumpa ajira huyu jamaa naona anatufaa sana kwenye Epl.
Halafu kuna ile takataka pale mbele inatukaba wenyewe, Amorin asipoifanyia maamuzi magumu kwenye dirisha kubwa nina uhakika ndio itakayo mfukuzisha.
Huyu muhuni anasaidia kupunguza molari ya timu pinzani, ila amenifurahisha ile penalty ya mwisho kaonyesha uungwana amemfata refa na kumuambia kua hajachezewa rafu.
Ngoja the kick iishe ndo utawajua vzuri ..hapo Kuna Lyon na kina athletic ya kina Nico Williams mna mlima mrefu sana ....hata akichezeshe refa km wa Jana Bado hamtoboi😂