Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,875
- 16,442
[emoji20][emoji20][emoji20]Inasikitisha sana aiseee
Ila kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza alkasusu, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi? Kikombe kimoja cha alkasusu kinauzwa buku, haya ukiuza chupa zako 5 kwa siku utashindwa kujenga?
Ila kuliko kuisema Man U kuna mambo mengi ya kimaendeleo tunaweza kuyafanya, mfano tu wengi wenu humu hamjui kutengeneza alkasusu, kwanini msitumie muda huu kupata huo ujuzi? Kikombe kimoja cha alkasusu kinauzwa buku, haya ukiuza chupa zako 5 kwa siku utashindwa kujenga?