Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukiwakuta nyuzi za wanaume na utumbo wanaoandika sasa
 
Unacheza back 3 na timu inayoishi kwa counter 😂😂😂
 
Leo kidogo naona boli linatembea,second half tunaenda kupiga come back nyingine tena..Dialo na Garna watahusika katika magoli yatakayopatikana
Hilo Boli gani labda bolibo mshalambwa chuma 3 😂 ...kamubaki labda kwenye dream league
 
Watu washazoea nyumbu kufungwa hakuna anayeshangaa

Wala hakuna anayekuja huu uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…