Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nyambafu gape langu na wazee wa tawi ni points 8 tu, soon nakukuta jiandae 😂
Huna uwezo,wewe utabaki nafasi ya 13-18

Na ukikutana na Mimi nakubonda ,

Natamani nipangiwe na wewe kila siku🤣🤣
 
Huna uwezo,wewe utabaki nafasi ya 13-18

Na ukikutana na Mimi nakubonda ,

Natamani nipangiwe na wewe kila siku🤣🤣
Tunakutana FA hapo keshokutwa, mwakani Arteta kibarua lazima kiruke 😂
 
Alejandro Garnacho wins the 2024 FIFA Puskás Award 🚲


🎙️ Alejandro Garnacho: “I'm happy to win this award. It's a proud moment for me and my family. Thanks to everyone who voted for me, especially the United fans. It was a great finish.
 
Kila mtu mwenye uhuru wa kufikiri alijua tatizo la man utd linaanzia kwa Rashford, Kama Amorin atakuwa bold enough kumuondoa kikosini au hata kumpiga bench, he deserves my respect for that.
Mkuu naona kocha kashaliona tatizo na tatizo nalo linataka kuondoka, Itakuwa vyema kwa klabu yetu endapo litaondoka kweli.
 
Mkuu naona kocha kashaliona tatizo na tatizo nalo linataka kuondoka, Itakuwa vyema kwa klabu yetu endapo litaondoka kweli.
Rashford na garnacho zile ni talent asiache ziende kizembe,atafute mfumo wa kuwafit
Mkuu naona kocha kashaliona tatizo na tatizo nalo linataka kuondoka, Itakuwa vyema kwa klabu yetu endapo litaondoka kweli.
 
Leo yule mkorea macho madogo atakuwa anapitia kwa ile bek mbovu dalot 🤣🤣🤣

Son anaondoka na mpira

Jogo tasa 4-1 mashetan
 
Leo kidogo naona boli linatembea,second half tunaenda kupiga come back nyingine tena..Dialo na Garna watahusika katika magoli yatakayopatikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…