Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Msimu wakati unaanza Onana anakuambia msimu huu nimejiandaa kutake risks. Nikajiuliza risks gani kumbe za kupigwa goli 5 mechi 2.

Sasa hivi GD inaanza kusoma negative
 
Hawa kila msimu wana maliza na GD ya negative
Msimu wakati unaanza Onana anakuambia msimu huu nimejiandaa kutake risks. Nikajiuliza risks gani kumbe za kupigwa goli 5 mechi 2.

Sasa hivi GD inaanza kusoma negative
 
Nagawa KADI za mwaliko wa show ya kesho ya EX wenu Spurs aliyewagongea kwenu bao tatu mixer kumwagia ndani itakayofanywa na THE BLUES nyumbu mngependa tuwalipizie bao ngapi kesho???
 
Nagawa KADI za mwaliko wa show ya kesho ya EX wenu Spurs aliyewagongea kwenu bao tatu mixer kumwagia ndani itakayofanywa na THE BLUES nyumbu mngependa tuwalipizie bao ngapi kesho???
Ukiona ama.kujiona unajua kutukana sana basi wewe ni certified fukara. Yan wewe hadi unakufa utabaki kua fukara tu.
 
Nagawa KADI za mwaliko wa show ya kesho ya EX wenu Spurs aliyewagongea kwenu bao tatu mixer kumwagia ndani itakayofanywa na THE BLUES nyumbu mngependa tuwalipizie bao ngapi kesho???
Oya badilisheni lugha mazee ,duh

Msifike huko mazee
 
Ngoja tuingie sokoni January
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Amoxicillin atapigwa Hadi akimbie hii ligi

Hii timu Bora angeachiwa Rudi banistroi

Banistroi alikuwa anatumia 4-2-3-1 akawa anatembea vzr tu,

Kaletwa huyu muhindi analeta mambo ya 3-4-3, Je manjesta yanited Ina profile za hao wachezaji wakucheza 3-4-3?

Manjesta Ina wachezaji wanaweza kusafa muda wote,?

3-4-3 inahitaji wachezaji wawe kama punda , sasa manjesta Ina wala urojo kina Anthony Santos makudubela,MBE markosi Rashidi mpemba, Garnacho mrithi halali wa Mbuzi wa mchongo Cr7,

Ni mapema kumjaji kocha wenu Muhindi Amoxicillin, lakini asipotulia EPL itamtoa kamasi

EPL kila mtu kambale
 
Wametengeneza mabango ya kuadhimisha kifo che legend wao nikadhani hata yatakua na aibu yatajishikilia kumbe haya ni mlenda kabisa
 
Confirmed: Arsenal will face Manchester United at the Emirates Stadium in the FA Cup third round on Sunday, 12 January at 3pm (UK time), live on BBC.
p

Mnakuja tena geto
Hii ndio tunawapiga mkono sasa
Oyaa Waoneeni huruma hata kidogo mazee
Hao watu wanatakiwa tuwaweke kwenye special group,tuwapende, tusiwanyanyase!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…