Xavi Hernandez na baadae Hans Flick wameirejesha kwa namna fulani heshima ya LA MASIA.
natamani siku moja kuiona United ikitamba ndani ya uwanja kupitia vijana wake.
Tupunguze woga, khofu na presha ya kutaka kurudi juu kwa haraka.
Hatimaye klabu inaishia kufanya sajili za kitapeli.
Kuna vijana mfano wa mantato benedito, bianchineri (sijui nimeandika sahihi), ibragimovic, lacey, amass na wengineo ambao wamekuwa wakiondolewa Kila mwaka kwa kukosa kuaminiwa.