Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yanited contributed 0 wins and 3 draws to this stat 😭😭
 

Attachments

  • Screenshot_20241025-191656_1.jpg
    439 KB · Views: 24
Wazee wamenyimwa lift🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • 20241026_130329.jpg
    272.2 KB · Views: 27
Zirkzee timu ya taifa ameperform lini ?
 
Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim kimeshuka kwenda kuangamiza wale hammers.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

West ham 1 vs Manchester United 4
 
Must win game....GGMU
Duh, Baada ya kuangalia El-Clasico ya jana na ubora wa wachezaji wa timu zote mbili, nimeangalia hiki kikosi nikajisemea 'mwaka huu hatutoboi popote' katimu ka hovyo sana haka.
 
Duh, Baada ya kuangalia El-Clasico ya jana na ubora wa wachezaji wa timu zote mbili, nimeangalia hiki kikosi nikajisemea 'mwaka huu hatutoboi popote' katimu ka hovyo sana haka.
Kwani nyie mlikuwa na malengo ya kucheza na nani kati barca na Madrid!!
Kwenye michuano ipi mkutane nao,au friendly match
 
Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim kimeshuka kwenda kuangamiza wale hammers.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

West ham 1 vs Manchester United 4View attachment 3136458
Naona WAN-BISSAKA katufunza mpira. Hakuna ujinga aliofanya huyu kocha kama kumuuza Bisaka na McTominay.
 
Hii team kunahitajika overhaul, kocha na dead woods wote. Else wataendelea na poor performance muda wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…