Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kai Havertz is the first player to play 90 minutes and complete 0 passes in a game in the last 7 PL seasons.
Tumechafua social networks jana. Wana hasira sana kama polisi wa nchi fulani EA na raia wa chama fulani


Ushauri kwa ndugu zangu Gunners, leo ukitoka usivae jezi ya Arsenal, wanaweza kukuteka hawa.

Viazi vinalalamika jana Kai Havertz hajapiga complete pass hata moja. Huu ndo UHARAMU FOOTBALL, UNDAVA tunaouzungumzia sasa.
 

Sahihi! Bruno, Rashy, Shaw, Casa Hawa wakati Mzuri kuwauza. Rashy amesaini mkataba Mpaka 2028 na kwa wiki anachukua 375k + Bonus, Casa anachukua 450k + Bonus, Ukiangalia Wastani wa Umri wao na Unataka tengeneza timu wote ni wa Kuondoa.
Bruno Miguel Borges Fernandes:
Bado ni Moja ya Viungo bora zaidi wa Ushambuliaji Duniani! Ila tangu Msimu Umeanza Bruno sio Yule na kuna Maamuzi Mengi sana anafanya yanagharimu Flow ya Timu, Inawezekana ni Muda Mrefu UTD Hai-Control Game With/without Possession imemuathiri kiasi flani lakini kuna haja ya yeye ku-step Up pakubwa sana

Msimu Mbichi sana ila Kama UTD Inacheza namna wamecheza na Palace na wakawa na Consistency hadi kufikia Game 10 basi kuna kitu kikubwa sana kitakuwa kimebadilika (Wamefanya sana Pre-Season changamoto ni Players wengi hawakuwemo) hapa Nafasi ya Bruno itakuwa Muhimu zaidi sababu Build Up ya 3~2~5 inampa Options Mingi sana kwenye Final Third
Kama ETH ata-Stick na Plan hii kwenda Mbele MOUNT atanufaika sana na Nafasi alokuwa anaicheza ERICKSEN Game na Palace na kizuri kumhusu Mount ana Ubora kwenye Half Turn na Energy kubwa ya Pressing lakini Passing ERICKSEN Anamzidia, Kitu kizuri ni kwamba kwa sasa kuna DEPTH Nzuri na walau yenye Quality.
 

In my book: wanaomsapoti ten hag ni ....... Jaza nafasi iliyoachwa wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…