Kipindi cha nyuma tuliambiwa kwamba hatuwezi kusajili zaidi ya wachezaji 5 kwa dirisha moja lakini naona Jimmy anafanya sajili si chini ya 5 hadi 6 msimu huu. Msimu juzi tuliambiwa na watu humu kuwa hili haliwezekani kumbe tulikuwa tunapigwa kamba tu.
Nasubiri Rashford auzwe ili niwe na uhakika wa Zirkzee kuanza shavu la kushoto kila mara.
Yah, nikweli tulinyanyua lakini kikombe kile ni kama cha kahawa, (kidogo) kwapa linainuliwa kwenye ligi kuu ama UCL, sio uinue sahani ya ubwabwa (ngao ya jamii) useme umeinua kwapa.
Yah, nikweli tulinyanyua lakini kikombe kile ni kama cha kahawa, (kidogo) kwapa linainuliwa kwenye ligi kuu ama UCL, sio uinue sahani ya ubwabwa (ngao ya jamii) useme umeinua kwapa.
Yah, nikweli tulinyanyua lakini kikombe kile ni kama cha kahawa, (kidogo) kwapa linainuliwa kwenye ligi kuu ama UCL, sio uinue sahani ya ubwabwa (ngao ya jamii) useme umeinua kwapa.