Manchester United (Red Devils) | Special Thread

inasemekana Sir Jim Ratcliffe's ni miongoni mwa followers wa Masingeli
Ten Hag kwa namna alivyopambana hastahili kufukuzwa timu ilikuwa na hali mbaya sana.

Tulitaka kocha aitumie wachezaji wa academy msimu huu kaibua wachezaji wawili muhimu na Ethan Wheatley, Forson Omary na Habib Orguneye au Kai Rooney wako kwenye list.

Halafu anafukuzwa?
 
Huyu SJR na Glazers wakimfukuza EtH itakuwa ni ufala sasa. Project inahitaji mwaka wa 3 maana mpaka sasa bado kuna maeneo anatumia wachezaji wa makocha waliopita.

Msimu wa 3 ndiyo utaonyesha picha kamili kama project yake itafanikiwa.
 
Hii Club viongozi wake watakuwa wanavuta bangi si bure
Watakuwa wajinga mno yaani kocha achukue makombe mawili ndani ya misimu miwili halafu wamtimue, kocha toka aje anasumbuliwa na majeruhi ya key players ila bado kaibua vijana wadogo wazuri wanaotarajia kufanya timu kuwa tishio huko mbeleni. Wakimtimua huyu kocha tajua timu yetu kweli ina mashetani ambayo hayataki mafanikio yetu na huenda mule ndani ya uongozi kuna mashabiki wa Arsenal.
 
Waingereza wameshaanza uchafuzi wa wachezaji
 
Washabiki wa arsenal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…