Shida ya Arteta ana karoho fulani ka huruma...huwa akishaona mkono umetimia anaanza kutoa watu...ila j2 inatakiwa aache watu mpk mwsho ili tutoe demonstration moja matata sana
Acha waonje kuwa nje ya ulaya. Sisi tulimaliza wa 8 mara mbili mfululizo. Wanadhani tulipenda? Ila ndiyo kukuwa kwenyewe huko. Wacha wafunzwe na ulimwengu kama 7hag kashindwa kuwafunza.
Chelkenge, Asenyani, Livakuku, Manyumbu ni sawa kiasi zaidi, yamekaa kiutani zaidi kuliko Asenyeto sijui livanyeto, chelk*nd* ambayo yamekaa kimatusi ya kijinga na kitoto...