arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Ili usajiriwe arsenal, kwanza uwe the gunner au uwe na mapenzi na timu
Pili uelewe project na uwe tayari kufia uwanjani kwa ajiri ya timu
Look at this, alipoulizwa kuhusu kuwa sehemu ya squad ya nyumbuView attachment 2978531
Ukiachana na u-stubbon wake ila amepiga kwenye mshonoHyu mchezaji ni very controversial...ni wale wachezaji ambao wameamua kwmba utukutu ni sehemu ya identity Yao...
Yeah it's true....United imejijengea kaliba hyo na ndo maana wachezaji wengi wanaenda si kwa mapenzi ya timu Bali mihela wanayoahidiwa...wages wanazolipa na transfer fee za kufuruUkiachana na u-staborn wake ila amepiga kwenye mshono
Hawa ndio jana wangecheza na madrid sioπ€£π€£π€£
Sasa Rashford wa kulipwa β¬300+? Huu si ndio uchizi huu!Yeah it's true....United imejijengea kaliba hyo na ndo maana wachezaji wengi wanaenda si kwa mapenzi ya timu Bali mihela wanayoahidiwa...wages wanazolipa na transfer fee za kufuru
Madrid angepigwa tu, kikosi tulichojiandaa nacho Kama arsenal Ni hiki hapaHawa ndio jana wangecheza na madrid sio
Tukiwa na wachezaji sahihi na wanaopigania badge ya club yes itawezekana.Ivi kuna siku tutafikia style ya uchezaji kama ile ya dortmund
Jamaa ni mbio mwanzo mwisho na full controll miguuni ball balance imejaa pale
Tatizo pale Carrington wamejazana mabitozi na masharobaro, wanakula mishahara mirefu halafu kujituma uwanjani wenyewe wanaona kama hisani sio wajibu.Ivi kuna siku tutafikia style ya uchezaji kama ile ya dortmund
Jamaa ni mbio mwanzo mwisho na full controll miguuni ball balance imejaa pale
Mshiko mbele kwanza halafu mpira ufuate.Ili usajiriwe arsenal, kwanza uwe the gunner au uwe na mapenzi na timu
Pili uelewe project na uwe tayari kufia uwanjani kwa ajiri ya timu
Look at this, alipoulizwa kuhusu kuwa sehemu ya squad ya nyumbuView attachment 2978531
kumbuka kuna kocha Alimletea zengwe, mwana akasepa zakeJodan Sancho π₯
ila hili lijamaa huwaga halina utani hata kidogoUnafumgwa na ukizingua unapigwa vilevileView attachment 2978536