Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimeona tweet ya Rashford analalamika kuwa anafanyiwa abuse, hivi huyu jamaa angekuwa Vini Jr si na mpira angeacha kucheza?

Anakula 300k kwa week watu wanamcriticize apambane analia lia mitandaoni, jamaa anafurahisha sana.
 
Moja wa madogo walioniuma sana kuondoka Kwake ni zidane iqbal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…