Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man United wafanye kama wamesinzia Ten Hag atawapa EPL haraka kuliko Arsenal na Arteta wao.

Timu na ubovu wote ule inaelekea final ya FA siyo kawaida.

Timu ikiharibika sana unahitaji uvumilivu sana na mpango wa muda mrefu kurudi kwenye form.
 
Video ya mchakato wa matibabu kwa wachezaji wa man u imevuja leo🔥🔥🔥 mwakani tutakua na timu ya wachezaji wenye vyuma miguuni kama mac tominay
Your browser is not able to display this video.
 
Ila huyu Rashford naye banah, anapoteza kila Mipira tu, Yani ukiangalia kiwango anachokionyesha na Mshahara pamoja na allowances ni vitu viwili tofauti ( Man U needs complete changes in order to re- bounce back).
Ten Hag kuna muda unakosa hata cha kumtetea, hizi perfomance zake Rashford kila leo unabaki kushangaa anapata namba vipi na anacheza 90 zote day in day out
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…