Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu hii ni hatari sana kushabikia hasa Kwa afya ya mwanadamu, ni hatari mno!. Unaweza kudhani kuwa wachezaji na benchi la ufundi wakitoka kucheza mechi wanakwenda kulala hawafanyi training tena Hadi mechi ijayo.
 
Timu hii ni hatari sana kushabikia hasa Kwa afya ya mwanadamu, ni hatari mno!. Unaweza kudhani kuwa wachezaji na benchi la ufundi wakitoka kucheza mechi wanakwenda kulala hawafanyi training tena Hadi mechi ijayo.
Ulikua akilini mwangu mkuu.. Nimeshabikia hii timu kwa muda wa dk 90 tu lakini hiyo presha niliyoipata, najiuliza mnaoshabikia siku zote mnaishije?

Timu inaacha mashimo kibao, kukaba kwenyewe kazi, wamejaa wachezaji mizigo timu nzima, angalau alipoingia Antony kajitahidi kidogo kukaba, otherwise timu yote ni mbovu.
 
Pale hakuna timu, nimeangalia mechi nyingi za timu kama arsenal, real Madrid, B. Leverkusen kuliko hata timu yangu UTD, it's disgusting kabisa, wachezaji hawajitumi kabisa au ndo uwezo wao ulipoishia, pathetic...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…