Mwaka
Mwaka wa kwanza akawaletea Anthony Masebene na mzee Casemiro mara Eriksen mara Babu Evans
...hapana...hyu ameshaonesha dalili mbaya...ni mpiga dili na Hana uchungu na fedha za klabu....ila nafuu kwetu wapinzani maana huwa ana maneno ya changamsha genge na majigambo kwlikwli wakati uwanjani hakuna anacho deliver