Manchester United mabingwa Kombe la FA 2024 baada ya kuifunga Man City 2-1

BURUTA

JF-Expert Member
Apr 27, 2015
595
777
Ni baada ya leo kuichapa ManCity 2-1 uwanja wa Wembley huku golikipa Onana akiwa man of the match.
---
Manchester United imefanikiwa kubeba Ubingwa wa FA Cup 2024 kwa kuifunga Manchester City katika Fainali kwa magoli 2-1 kwenye Uwanja wa Emirates Jijini London

Magoli ya Alejandro Garnacho na Kobbie Mainoo yameiwezesha United kubeba kombe hilo kwa mara ya 13, mara ya mwisho kulibeba ilikuwa Mwaka 2016, huku City ambayo iliyopewa nafasi kubwa ya kushinda imepata goli kupitia kwa Jeremy Doku

Kipigo hicho ni kama United imelipa kisasi kwa kuwa msimu uliopita ilifungwa na wapinzani haohao katika Fainali ya FA kwa magoli 2-1

Timu zilizobeba FA Cup mara nyingi ni Arsenal (14), Man. United (13), Chelsea (8), Liverpool (8), Tottenham Hotspur (8), Man. City (7) na AstonVilla (7)
 
Mmh🙄
8DB61523-A7F8-40EB-869E-C3EEA97DEB65.jpeg
 
Na kwa ushindi huo mnono, ManU automatically wameongia mashindano ya Europa msimu ujao.
ManU tunarudi kama ilivyokuwa enzi za Fergie, karni chonjo!
 
Umeungana na Mimi!!! Man City ubingwa wa ligi waliupata kwa kubebwa na baadhi timu za London zenye utani 'maandazi'.

Bila kumumunya maneno Tottenham Hotspur, Westham na Fulham!!! Man City atapigwa Tena mechi ya ngao ya hisani!
Hili swala la utani 'maandazi' likatizamwe kwa kina maana

haiwezekani Nyumbu amkazie Liverpool alafu alegeza kwa LUTON huu sio sawa kabisa

Utani maandazi unaharibu soka letu. Hakika
 
Pep UEFA champions league mbili Toka kwa man united.

Fa cup Moja Toka kwa man united.


Lingekuwa Jambo la kufedhehesha kwa mashabiki wa man united, kama pep angetwaa kombe la fa dhidi ya man united.

Ferguson uwanjaanii alipata muhaho.


Nadhani alifurahii sana man united kubeba fa cup
 
Pep UEFA champions league mbili Toka kwa man united.

Fa cup Moja Toka kwa man united.


Lingekuwa Jambo la kufedhehesha kwa mashabiki wa man united, kama pep angetwaa kombe la fa dhidi ya man united.

Ferguson uwanjaanii alipata muhaho.


Nadhani alifurahii sana man united kubeba fa cup
Ueafa champion league 2 toka kwa man u? Fafanua kidogo hapo
 
Back
Top Bottom