PostGE2025 Manara: Nikishaapishwa tu, DAWASA mjiandae kuja na majibu hizi chemba za maji machafu tunafanayaje

PostGE2025 Manara: Nikishaapishwa tu, DAWASA mjiandae kuja na majibu hizi chemba za maji machafu tunafanayaje

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Mkurugenzi wa manara tv na diwani mteule wa kata ya Kariakoo Hajj Manara leo November 19, 2025 ameeleza wazi namna alivyojipanga kukabliana na changamoto zinazowakabiri wanakazi wa kata ya Kariakoo ikiwemo changamoto ya uhifadhiji wa maji taka yanachafua hali ya hewa ndani ya kata hiyo

Huku akiongeza kuwataka DAWASA wajiandae kuja na majibu kamili juu ya chemba za maji taka kutofanyiwa kazi kwasababu zinazidi kuwa kero wa wananchi wa kata hiyo.


 
Mkurugenzi wa manara tv na diwani mteule wa kata ya Kariakoo Hajj Manara leo November 19, 2025 ameeleza wazi namna alivyojipanga kukabliana na changamoto zinazowakabiri wanakazi wa kata ya Kariakoo ikiwemo changamoto ya uhifadhiji wa maji taka yanachafua hali ya hewa ndani ya kata hiyo

Huku akiongeza kuwataka DAWASA wajiandae kuja na majibu kamili juu ya chemba za maji taka kutofanyiwa kazi kwasababu zinazidi kuwa kero wa wananchi wa kata hiyo.


View attachment 3504289
Safi sana bora ata wewe unaonyesha nia ya kusgughulikia matatizo ya hapo kariakoo na ilala.
 
Kuongozi sharti
1. Apende kujifunza
2. Apende kujiridhisha
3.Atende haki
N
Mkurugenzi wa manara tv na diwani mteule wa kata ya Kariakoo Hajj Manara leo November 19, 2025 ameeleza wazi namna alivyojipanga kukabliana na changamoto zinazowakabiri wanakazi wa kata ya Kariakoo ikiwemo changamoto ya uhifadhiji wa maji taka yanachafua hali ya hewa ndani ya kata hiyo

Huku akiongeza kuwataka DAWASA wajiandae kuja na majibu kamili juu ya chemba za maji taka kutofanyiwa kazi kwasababu zinazidi kuwa kero wa wananchi wa kata hiyo.


View attachment 3504289
Nara boy uwe mpole na mtulivu tena kuropoka isiwe sababu ya kuamsha hasira ya wenye madai ya msingi juu ya taifa lao?
 
Sasa Dawasa kwani wanareport kwa diwani?
Huyu jamaa hata mipaka ya kazi yake haijui.
 
Back
Top Bottom