Manara limemkuta jambo

Kwenye Sengenyaji ondowa "nyaji" acha "Senge".
 
Kudhalilika aje kwani si alikua mkewe wa ndoa ajabu nini hapo?
 
Shida anajiona born town yani anajiona anajua kila kitu...huwezi kumsema boss wako mambo ya ndani ya mkewe...any way huwa tunasema umbea hapa na pale hata sisi ila yy alikua na watu zaidi ya 10 anayamwaga maneno....
Alikuwa keshapendeza labda. Au sio mambo yake?
 
Mnoo bi dada kashaamua kujivika mabomu..nadhani anapata support ya wabaya wa manara aliokwisha wakwaza...
Exactly 100 nae zungu angepumzika nae kumtafutia yule bidada number za nida ndio ana msimanga lol sie wanaume tuna dhambi mno πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…