MANANASI na MACHUNGWA yanauzwa bei gani ya jumla huko kiwangwa?

MANANASI na MACHUNGWA yanauzwa bei gani ya jumla huko kiwangwa?

Shuku_

Senior Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
191
Reaction score
273
Habari zenu wakuu 👋🏽 👋🏽

Kwa anayefahamu bei ya jumla ya MANANASI na MACHUNGWA kutoka kwa wakulima wa KIWANGWA- CHALINZE naomba anijuze.

Natanguliza shukrani 🙏🏽🙏🏽

images (5) (4).jpeg


images (5) (11).jpeg
 
Nanasi Dogo 300 kwa 400.
Kubwa 500 kwa 800.
Bei ya shambani.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Wajuzi watakuja, nakumbuka nilinunua mahali chungwa moja Hamsini, Sasa nikajiuliza shambani itakuwa ni shilingi thelathini ama ishirini. KUongeza thamani ndio tatizo kwetu maana watu hawana pa kuuza Kwa bei nzuri, chungwa Hamsini, nilishangaa sana.
 
Yy auze sh ngp kushindana na bei ya 100 na 50 yaliyosfirishwa hadi Temeke stereo?
Mi nilishangaa hiyo bei, pia nadhani huenda machungwa yake ni chungwa+dalansi ndo maana anauza bei hyo.
 
Kwa sasa bei ya machungwa juu ya mti shambani ni Tsh 25 mpaka 30 ukija ukiweka gharama za uchumaji inafika mpaka 35 ila ikifika mwezi wa 8 hua bei zinapanda kwa kasi na kuna kipindi bei zinafika mpaka Tsh 100 kwa chungwa juu ya mti
 
Kwa sasa bei ya machungwa juu ya mti shambani ni Tsh 25 mpaka 30 ukija ukiweka gharama za uchumaji inafika mpaka 35 ila ikifika mwezi wa 8 hua bei zinapanda kwa kasi na kuna kipindi bei zinafika mpaka Tsh 100 kwa chungwa juu ya mti
Aanha… angalau umenipa mwanga ndugu.
Mkuu hiyo bei ni nzuri, pia ni wapi huko machungwa yanapatikana kwa bei hiyo ?
Kiwangwa au?
 
Back
Top Bottom