machungwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Raia Fulani

    Haya machungwa vipi?

    Ukweli ni kwamba tangu nizaliwe hadi sasa naelekea utu uzima wenyewe sijawahi ona haya machungwa. Nachojua machungwa aidha yawe matamu au machachu, ila hayakosi maji. Sasa haya sijui ya wapi. Na ni mwaka jana na huu tu ndio nimeanza kuyaona. Chungwa kwanza kubwa, halafu gumu, kuonyesha kabisa...
  2. DR SANTOS

    Jinsi ya kula machungwa ya Tanga

    Yaani asikwambie mtu machungwa ya tanga ni matamu sana hasa upate yenye maji mengi na kiharufu Cha asili mengi, nnakwambia utaloesha hadi ndevu, afu upate yenye kiharufu Cha asili. Ni kutafuna na kufyonza tu mpaka ganda, maelezo zaidi kwenye picha.
  3. Black Butterfly

    Faida 13 za kula Machungwa

    Inawezekana pia hata kwa wale wanaokula, japo kidogo, hula kama kiburudisho tu bila kujua faida zake mwilini. Katika makala ya leo nitakujuza faida 13 unazoweza kuzipata unapokula chungwa, ambalo limesheheni virutubisho kibao. Kumbuka kuwa hata chungwa moja tu ukila lina kidhi yale mahitaji...
Back
Top Bottom