BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
Kakobe kampa kibano kinachostahili dhalimu huyu mwenye roho mbaya kuliko hata ya shetani.
Na Mwenyekiti wako anapoisigina Katiba ya nchi aliyoapa kuilinda na kuitii, unataka achekewe!
Kakobe ni shujaa kwa kumpa "makavu" Mwenyekiti wako na kumwambia atubu dhambi yake ya kuisigina Katiba, ikiwa inamuelekeza kuwa hii nchi ni ya vyama Vingi, wakati yeye anataka kuierejesha ya chama kimoja kwa mtutu wa bunduki.
Inabidi kila mwananchi wa nchi hii apaze sauti yake kwa nguvu zote ili huyu "dikteta uchwara" aweze kubadili gia angani