yupi huyo?Alienicha hoi ni huyu mbongo ili kumwona utoe 250,000 kwanza
Watu wengi sana wanaangamizwa sana na hawa watu bila kuelewa.Wa Tanga nafikiri. Yani kuna jirani anamsubiri kwa hamu zote anasema hajali gharama. Uone ni jinsi gani watu walivyo na njaa ya uponyaji ila ndiohivo wanaangukia kwa hawa walugaluga
Wote wapigaji hao. hakuna mtumishi wa mungu hapo,ingawa hatusemi kwamba viongozi wa dini waishi kimaskini lakini sio level hii.nimeishi na watu sampuli hii.wanacheza tu na saikolojia za watu wenye matatizo.
Jamaa anafahamika mpaka Hollywood. Ana marafiki wengi sana hapo. NiNabii
Sifa za Nabii ni lazima uwe umeitwa, umechaguliwa then ukatumwa. Lazima uwe umepitia njia ya msalaba kikamilifu.hivi sifa ya nabii ni ipi? maana siku hizi manabii wanachipua kama magugu kipindi cha masika
Wanachofanya wao ni kuchukua nuru yako, na kukufanya uwe mtumwa zaidi. I mean, badala ya kukupeleka Caanan, wanakurudisha Misri ukapige mzigo wa filauni FaraoUtitili now, ukifungua Facebook Naona kila siku wapya.. Duuh.. Wanakamua Sana pesa hasa wakina dada ndio wahanga wanawaamini na prophecy zao za uongo.. Shtuka we dada na kimbia...![]()
![]()
, wanakuacha masikini. Rudia imani yako ya kwanza Mungu atakusaidia
We acha tuWatu wengi sana wanaangamizwa sana na hawa watu bila kuelewa.
Sadaka za nyumbu zipo kwanini asile bata
Anaitwa nambii frank wa kanisa la shiloh lipo tanga na kapunguza bei ilikuwa laki 3Wa Tanga nafikiri. Yani kuna jirani anamsubiri kwa hamu zote anasema hajali gharama. Uone ni jinsi gani watu walivyo na njaa ya uponyaji ila ndiohivo wanaangukia kwa hawa walugaluga
Uwiiiiieeee1. Nabii Eubert Angel wa kanisa la Christ Embassy,
![]()
Hapa akiwa na Ginn Wine (Mwanamziki)
![]()
![]()
Hapa akiwa na mke wake Bebe Angel
![]()
Hapa akiwa gym
![]()
Mke na watoto wake
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wengine hawaapa....
![]()
![]()
![]()