Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania wanasemaje kuhusu mvua za El Nino?

NYASI-MSESE

Member
Jun 16, 2015
31
59
Weatherman wa Kenya wamesema kutokana na data za satelaiti, Mvua za El Nino zinazotarajiwa hazitakuwa kubwa kama ilivyotabiriwa hapo awali.

Je, upande wa TMA wao data zao za satelaiti zinaonesha nini maana matangazo yao hayana ukweli bali pata potea.

Tunaona halmashauri nyingi wapo busy kupiga pesa za kusafisha mifereji ya maji.

Hivi na ule mpango wa kurusha Satellite angani umefikia wapi?
WhatsApp Image 2023-10-04 at 7.18.18 PM (1).jpeg
 
Ukame sana ama mvua sanaaaa
bado nasubiria walichotabiri manake huchelewi sikia dishi limeyumbaa
 
Weatherman wa Kenya wamesema kutokana na data za satelaiti, Mvua za El Nino zinazotarajiwa hazitakuwa kubwa kama ilivyotabiriwa hapo awali. Je, upande wa TMA wao data zao za satelaiti zinaonesha nini maana matangazo yao hayana ukweli bali pata potea. Tunaona halmashauri nyingi wapo busy kupiga pesa za kusafisha mifereji ya maji. Hivi na ule mpango wa kurusha Satellite angani umefikia wapi?
Lakini mkuu kuweka mazingira katika hali ya usafi si jambo jema? Hata kama elninyo itakuja kidogo au isije kabisa hatuna hasara zaidi ya faida. Wacha tuzibue mitaro tufukuze na nyoka.
 
Kwa experience yangu ndogo mwaka huu mvua inaweza kuwa chache sana. Huku niliko joto ni kidogo sana.
Bila joto nadhani hakuna mvua
 
Back
Top Bottom