haijulikani binamu, ila atakua SHE tu, ujue saivi maSHE wengi wamehamasika sana kuja JF!. kwahabari nyepesi ni kwamba wa2 wengi wamebadilika sana sasa wake na mademu wa watu wamekuja JF kufuatilia kujua chanzo ni nini, ndo maana mie laputopu yangu nimebadilisha pasiwedi!!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.