Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 716
- 644
Salaam zenu,
Nikiwa mwana MMU mgeni lakini kwa kipindi nilichokuwa nikishiriki kwa kusoma na kuchangia thread mbalimbali kuna vitu vinanikera navyo na
1.Kuwa na thread nyingi zinazo wa shusha hadhi wanawake wakati ingekuwa vema kuweka zenye kuwajenga kimwili,kiroho,kiakili.
2. Kuna wana MMU wanajifanya wakongwe kwa kudai eti JF imeshuka hadhi au JF ya zamani haikuwa hivi bila kusahau dunia inabadilika.
3. Hawa wengine ni wale wanao toa ushauri wa kejeli kwa mtu bila kumjenga.
Nikiwa mwana MMU mgeni lakini kwa kipindi nilichokuwa nikishiriki kwa kusoma na kuchangia thread mbalimbali kuna vitu vinanikera navyo na
1.Kuwa na thread nyingi zinazo wa shusha hadhi wanawake wakati ingekuwa vema kuweka zenye kuwajenga kimwili,kiroho,kiakili.
2. Kuna wana MMU wanajifanya wakongwe kwa kudai eti JF imeshuka hadhi au JF ya zamani haikuwa hivi bila kusahau dunia inabadilika.
3. Hawa wengine ni wale wanao toa ushauri wa kejeli kwa mtu bila kumjenga.