Mambo yaliyokuwa yanakuudhi nyumbani ulipokuwa mdogo...

Nilikuwa na zamu ya kwenda madrasa na tuition ,ikifika zamu ya madrasa nasingizia naumwa kulikuwa na viboko balaa yule maalim anachapa kweli ,kuna rafiki zangu wakawa wananipitia twende nilikuwa sipendiii
 
Jamani kulala mchana hivii mi sijafurahia kabisa maisha ya utoto nafurahi hivi mkubwa najiamulia mwenyewee
 
Hahaahahahah
 
Zamu za nyumbani, kufagia uwanja, kusafisha vioo, kumwagia maua na bustani ya mboga. Unaamshwa asubuhi subuhi unafanya kazi na shule uwahi, kijeshijeshi.
 
 
 
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…