Hahahahaaaa.. Ukweli mtupu mzee babaMimi nilikuwa nakereka kwa mambo haya:
1: Kurudi home mchana nakuta madha anachambua mboga halafua ananiambia nikawashe jiko na inabidi nirudie shule,
2: Anapita home msichana tunayesoma naye darasa moja hata sijamwongelesha, madha anaongea kwa sauti ya juu 'We hivi leo si ndio zamu yako kuosha vyombo’
Duuuh, nilikuwa nakasirika vibaya! Wewe je?
Hii tabia hata mii siipendi wageni wanaonekana wa maana kwelu hata vyombo vitatokewa vipya watumie wageniWageni nilikuwa siwapendi hata kidogo !!kilicho kuwa kinaniuma siku akija mgeni wenyew hatuna dhamani -kuku - wali anakula mgeni sisi wenyewe maharagwe duuuh!niliumia sana
Ahahahah"Kasage mahindi ndo ukacheze" ukirudi unatumwa kingine mpk giza linaingia
Nilikuwa naliaa sanaa,eti lala ukue halaf nue unasikia wenzio wanachezamimi kulala mchana...nilikua sipendi na ilikua hamna kwenda kucheza hadi ulale mchana...basi nkifika room najilizaaaa hadi macho yawe mekundu af nachukua kitana nafunga kune paji la uso hadi alama itokee eti ndo mistari mistari ile ukitoka kuamka...af nakaa kidogo nasepa zangu kucheza...
Umelala mpaka muda huu umepaki magari mangapi huko nje?utasikia matajiri wote walisha amka we ndo bado unajinyosha kama una hela pumba*u
HahahahahKuwa mzoa ma.vi ya kuku arafu wageni wakija wanachinjiwa watoto tunapewa miguu na shingo.
Huu wimbo siupendi mpaka leoKuoga maji baridi, pia kale kawimbo cha amka kumekucha, nilikuwa kuwa sikapendi radio free saa 11:30am.sijui kaimba msanii gani
Hili Kasumba la kujifanya kuwajali Baadhi ya Wageni kwa vyombo vipya pale kabati, chanzo chake ilikuwa nini haswa?Hii tabia hata mii siipendi wageni wanaonekana wa maana kwelu hata vyombo vitatokewa vipya watumie wageni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui ndio kujifanya wakarimu kwa muda hata sielewiHili Kasumba la kujifanya kuwajali Baadhi ya Wageni kwa vyombo vipya pale kabati, chanzo chake ilikuwa nini haswa?
Unalichukuliaje leo hii Mama Sabrina ?
We cheka tu enzi zile kazibyangu ilikuwa kutandikia kuku na mzoa mavi ya kuku arafu unamsikia mama anasema hawa kuku tuwatunze ili mgeni akija tusiumbuke.Aisee nilikuwa natukanaga kimoyo moyo kusikia vile.
Hahahahahaha kwa hiyo nyie mlikula lini kuku sasa ,sikukuu tu au?hujawah mkumbusha mama hayoWe cheka tu enzi zile kazibyangu ilikuwa kutandikia kuku na mzoa mavi ya kuku arafu unamsikia mama anasema hawa kuku tuwatunze ili mgeni akija tusiumbuke.Aisee nilikuwa natukanaga kimoyo moyo kusikia vile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikukuu sawa tulikula ila karibia banda zima lilifaidiwa na wageniHahahahahaha kwa hiyo nyie mlikula lini kuku sasa ,sikukuu tu au?hujawah mkumbusha mama hayo
Sent using Jamii Forums mobile app