Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
,walikuonea sana rafiki yanguSikukuu sawa tulikula ila karibia banda zima lilifaidiwa na wageni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
,walikuonea sana rafiki yanguSikukuu sawa tulikula ila karibia banda zima lilifaidiwa na wageni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema basi tu mimi kwangu hii ishu ya kuwapa feva wageni haswa kwenye misosi huwa naifanya ila vinatengwa vyote i mean inakuwa kama gombania goli ataepata paja hongera zakeila mgeni ukizubaa unaweza jikuta ukala miguu na shingo.
Safi sana basi kuku ipikwe nyingi ya nyumbani na ya wageni alaaa hata mi siwapendi kabosa wageni nyumbaniSema basi tu mimi kwangu hii ishu ya kuwapa feva wageni haswa kwenye misosi huwa naifanya ila vinatengwa vyote i mean inakuwa kama gombania goli ataepata paja hongera zakeila mgeni ukizubaa unaweza jikuta ukala miguu na shingo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wageni wenyewe wa siku hizi ni nuksi tu wanakimbia vyuma kukaza huko makwao wanataka kuja kujazana kwako ili iweje kwanza ndo wachunguzaji wa maisha mnayoishi pale home kwako na kupeleka huko walipotoka.Safi sana basi kuku ipikwe nyingi ya nyumbani na ya wageni alaaa hata mi siwapendi kabosa wageni nyumbani
Sent using Jamii Forums mobile app