Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 9
Sikukuu za Christmas na Boxing Day zimeisha. Wengine wamejirusha na family zao marafiki ndugu na jamaa, wengine ndoa zimevunjika, wengine wamekamatwa kwa fujo, wengine wametolewa bikira, wengine wamefumaniwa, wengine wameambukizwa, wengine wamelala mtaroni, wengine wamepoteza maisha . . . Sasa tusubili New Year 2011