Halafu hapo kaenda ili apate mume😁😁 sasa mume si ndo huyo baki hapo usaidie kuchimba miziziEti anakula vitu huku anajifanya anamuwekea dawa dada wa watuView attachment 986778
Sent using Jamii Forums mobile app
😱😱Hiyo picha imeniongezea minyege tuu....😔😔😔
Halafu hapo kaenda ili apate mume sasa mume si ndo huyo baki hapo usaidie kuchimba mizizi
Nimekupata Kamanda!
Pole Kasiba...
Hatari sanaPoleeee
Wasichana akili zao wanazijua wenyewe..Eti anakula vitu huku anajifanya anamuwekea dawa dada wa watuView attachment 986778
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah uganga raha sana.. nikikua nitasomea
Inasikitisha sana
Umesema kwa uchungu sana.Daah! Kama ana maradhi anawaambukiza wengi tena kirahisi kabisa. HATARI SANA.