Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi.
Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.
Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.
Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa KMC anamrudishia mpira kipa wake, kipa badala ya kupiga mpira kwa nguvu mbele anampa mchezaji wa Yanga vizuri kabisa halafu anasimama,mchezaji wa Yanga anapiga shuti beki mwingine anaokoa, bahati mbaya unamkuta tena mchezaji mwingine wa Yanga kipa anajifanya anaokoa kwa kuutenga kwa Mudhathir wakati huo yule beki wa mwanzoni aliyemrudishia anakimbia anajifanya anablock mpira ila anauruka kijanja mpira unapita alipo golikipa naye anasimama tu akiungalia halafu wanajifanya wanasikitika kama movie za Sinema Zetu.
Huo mchezo ukaendelea tena kwa mda Adrew Vicent, Kipa na beki mmoja pale nyuma wakisuka mipango thabiti Yanga kuongeza magoli, half time KMC wakashtukia mchezo wakamtoa kipa.
Inashangaza sana mpinzani ni mbovu na bado mnanunua game.
Sent using Jamii Forums mobile app