Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Wakati watu wanagombania kupanda mabasi kama kawaida yao,bibi mmoja alipanda akapata siti bila shida
konda akamuuliza"bibi mbona unalia??"
bibi akamjibu "mjukuu wangu kwa miaka 25 niliyoishi mbagala sijawahi pata siti lakini leo nimepata"
konda akamwambia "nyanyuka hiyo siti ya dereva".
konda akamuuliza"bibi mbona unalia??"
bibi akamjibu "mjukuu wangu kwa miaka 25 niliyoishi mbagala sijawahi pata siti lakini leo nimepata"
konda akamwambia "nyanyuka hiyo siti ya dereva".