Mambo ya kufikirisha kuhusu Polepole

Mambo ya kufikirisha kuhusu Polepole

MIHULU

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
490
Reaction score
701
Je ni kweli kwa mambo mazito aliyokua anaongea bado aliamua kubaki nchini?.

Je hakuna na back up plan, zaidi ya hiyo chip?. Watu wanavunja get, wanavunja, mlango na kumzoa kama kuku bila back up plan kufanya kazi?

Je Kuna system ilimuahidi ulinzi na sasa wamemuuza?

NB: Afande Tesha ametumika kama Chambo kumtoa POLE POLE Mafichoni?.. make baada ya yeye kutoka hadharani na yeye wangu wangu akaruka, hewani kumbe tayari alikua kwa rada
 
,> Je hakuna na back up plan ,zaidi ya hiyo chip?. Watu wanavunja get ,,wanavunja,mlango na kumzoa kama kuku bila back up plan kufanya kazi?

NB : > Afande Tesha ametumika kama Chambo kumtoa POLE POLE Mafichoni?.. make baada ya yeye kutoka hadharani na yeye wangu wangu akaruka.hewani kumbe tayari alikua kwa rada
Usenge usenge usenge
 
Je ni kweli kwa mambo mazito aliyokua anaongea bado aliamua kubaki nchini?.

Je hakuna na back up plan, zaidi ya hiyo chip?. Watu wanavunja get, wanavunja, mlango na kumzoa kama kuku bila back up plan kufanya kazi?

Je Kuna system ilimuahidi ulinzi na sasa wamemuuza?

NB: Afande Tesha ametumika kama Chambo kumtoa POLE POLE Mafichoni?.. make baada ya yeye kutoka hadharani na yeye wangu wangu akaruka, hewani kumbe tayari alikua kwa rada
Niko sehemu pekee yangu napiga konyagi kubwa,najiuliza haya maswali na zaidi ya haya ...
 
Je ni kweli kwa mambo mazito aliyokua anaongea bado aliamua kubaki nchini?.

Je hakuna na back up plan, zaidi ya hiyo chip?. Watu wanavunja get, wanavunja, mlango na kumzoa kama kuku bila back up plan kufanya kazi?

Je Kuna system ilimuahidi ulinzi na sasa wamemuuza?

NB: Afande Tesha ametumika kama Chambo kumtoa POLE POLE Mafichoni?.. make baada ya yeye kutoka hadharani na yeye wangu wangu akaruka, hewani kumbe tayari alikua kwa rada
Mkuu,

Hata hiyo chip yenyewe ni geresha tu.

Tulikuwa tunauliza sana kuwa what is the grand strategy? What is Polepole's strategy?

It turns out hakuwa hata na strategy ya kujilinda yeye mwenyewe, achilia mbali ya kukomboa nchi.

This is not a ridicule, this is evidenced by what happenned.
 
Je ni kweli kwa mambo mazito aliyokua anaongea bado aliamua kubaki nchini?.

Je hakuna na back up plan, zaidi ya hiyo chip?. Watu wanavunja get, wanavunja, mlango na kumzoa kama kuku bila back up plan kufanya kazi?

Je Kuna system ilimuahidi ulinzi na sasa wamemuuza?

NB: Afande Tesha ametumika kama Chambo kumtoa POLE POLE Mafichoni?.. make baada ya yeye kutoka hadharani na yeye wangu wangu akaruka, hewani kumbe tayari alikua kwa rada
Kwanza futa akilini kuhusu huyo uliyemu address kama afande tesha. Yule ni kijana mhuni tu ambaye hayupo kwenye kikosi jeshi chochote nchini.
 
Mkuu,

Hata hiyo chip yenyewe ni geresha tu.

Tulikuwa tunauliza sana kuwa what is the grand strategy? What is Polepole's strategy?

It turns out hakuwa hata na strategy ya kujilinda yeye mwenyewe, achilia mbali ya kukomboa nchi.

This is not a ridicule, this is evidenced by what happenned.
Beyond the line seem like you brick the code 🫢
 
Najiuliza hakujipanga kujilinda kwa level zile kwa kiwango chake alichofikia?
Watanzania huwa tuna wa overrate sana watu.

Halafu ukweli ukijionesha kuwa hawakuwa kwenye level hizo tulizofikiri, tunapata kitu wanasaikolojia wanachokiita "cognitive dissonance".

Tunakuwa kama hatuamini inakuwaje hili likaendana na lile wakati tunayaona mawili haya tofauti kabisa?

Cognitive dissonance hii ndiyo inazaa maswali kama haya ya "Najiuliza hakujipanga kujilinda kwa level zile kwa kiwango chake alichofikia?"

Hakujipanga kwa sababu hi ho kiwango ulichofikiri kikubwa sana ukikijua kwa undani utacheka tu.
 
Inawezekana mipango ya pole pole ilikua sahihi kabisa maana anaijua system vizuri sana Nina hakika kilichomuangusha pole pole kuna usaliti umefanyika mahali kati ya watu aliyewaamini kuna mmoja amemchoma
Kwa Makombora aliyo kuwa anayatoa,sikutegemea abakie hapa bongo aisee..hata kama hakuna mtu wa kumchoma..kama ni kweli katekwa basi polepole ni mpumbavu.

Na pia hata hao watekaji wamechelewa sana kumdaka,walitakiwa wawe wamemdaka mapema zaidi.
 
Mkuu,

Hata hiyo chip yenyewe ni geresha tu.

Tulikuwa tunauliza sana kuwa what is the grand strategy? What is Polepole's strategy?

It turns out hakuwa hata na strategy ya kujilinda yeye mwenyewe, achilia mbali ya kukomboa nchi.

This is not a ridicule, this is evidenced by what happenned.
Hivi kama hakuwa na mkakati wa ukombozi, alipanga kuishi maisha aliyoishi hadi lini? Namuonea huruma sana uko alipo.
 
Mkuu,

Hata hiyo chip yenyewe ni geresha tu.

Tulikuwa tunauliza sana kuwa what is the grand strategy? What is Polepole's strategy?

It turns out hakuwa hata na strategy ya kujilinda yeye mwenyewe, achilia mbali ya kukomboa nchi.

This is not a ridicule, this is evidenced by what happenned.
Mimi mwenyewe nilijiiluza sana hilo swali lakini sikuqeza kabisa kuona mkakati katika kile alichokufanya, hadi nikaandika uzi humu kwamba anachofanya Polepole ni sehemu ya mkakati wa CCM.
 
Mimi mwenyewe nilijiiluza sana hilo swali lakini sikuqeza kabisa kuona mkakati katika kile alichokufanya, hadi nikaandika uzi humu kwamba anachofanya Polepole ni sehemu ya mkakati wa CCM.
Vibaya zaidi, ilikuwa ukiuliza maswali kama hayo wanaharakati wanakushambulia na kukubandika majina mabaya kama yote.

Yani hawakuweza kuelewa kuwa kuhoji strategy si kupinga mabadiliko.

False dichotomy logical fallacy.
 
Back
Top Bottom