Mambo wayafanyayo wanawake yanayokera

ukiona mwanamke anajihudumia kwa asilimia 100 lazima mwanaume uwe china na huna say mbele ya huyo mwanamke
 
ukiona mwanamke anajihudumia kwa asilimia 100 lazima mwanaume uwe china na huna say mbele ya huyo mwanamke

hakuna raha kama kumuhudumia mwanamke anaejituma kufanya kazi kwa moyo....kwa sababu utakuwa unamuhudumia kwa roho safi na sio kwa sababu hana ila ni kwa sababu unampenda na wewe ni mwanaume una wajibu wa kumuhudumia mkeo au mpenzi wako....
 
hakuna raha kama kumuhudumia mwanamke anaejituma kufanya kazi kwa moyo....kwa sababu utakuwa unamuhudumia kwa roho safi na sio kwa sababu hana ila ni kwa sababu unampenda na wewe ni mwanaume una wajibu wa kumuhudumia mkeo au mpenzi wako....

Umenena vyema hongera
 
Thubutu uone ka kuna mtu atakukubali....money first next lov...ohooo

Afu na wewe! Hebu tuondokee hapa! Yaani ukilala hela, ukiongea hela, hata ukienda kule.... hela toka bana mi ntakukemea!
 
What kind of a woman is being described here? sounds like one off the streets
 

wewe Tembo
THIBITISHA HAYA ULIYOYAANDIKA NDO JINSI YALIVYO

I object them all

-money is exchange of freedom and time
-michepuko ni kutojitambua
-hataki rough ila reallove
-kama huna??
-msimamo wako ni upi tembo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…