Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Unaamka asubuhi mtu umenuna anajua labda mood haijakaa tu sawa sasa hivi asubuhi hali hiyo inaendelea hadi jioni na kesho yake pia ukiulizwa jibu oghh! kila kitu kipo sawa hii hali ni kero pia.Muda mwingine unamwacha kwasababu unahisi anahitaji space ili afikirie mambo yake lakini jamani hiyo space week nzima muwe mnawafikiria na wenzenu.
 
Hapo kwenye kununa aisee khah!,mwanaume umechelewa kupokea simu,
anatuma meseji kama mvua ya mawe ukipiga kanuna haongei..
Hapana unakuta mdada anajiliza tu,
Acheni hiyo tabia kaka zangu na wadogo zangu wa kiume mtaua wenzenu na kwikwi,
 
Habari wana JF

Katika pita pita zangu nimekutana na haya wanaume wengi wanalalamikiwa na wanawake au mabinti kuwa tabia zifuatazo zinawakera kwa kuwa nina mapenzi na rafiki zangu JF hasa MMU kama unatatizo kati ya haya baadhi nitakayotaja jirekebishe ni upendo wangu tu kwenu.


  • Kutokubali majukumu , mwanaume umeamua kuwa na mpenzi kuwa responsible na take care of your famili kama ukibahatika kupata mtoto. kwa wadada ukiona mwanaume hayupo responsible ukiwa nae jua hadi kitandani ni mvivu wa kutupa ndio wa kwanza kulalama mmh ujui kukata kiuno. Kukiss ujui akilalamika hivyo kaa kimya uone kama anaweza kazi..... utasikia wanawake wanachuna tutaachaje kuchuna wakati kutoa kwa hiyari amtaki mjifunze.

  • Kujinunisha hovyo hovyo hivi mwanaume unasusa ili iweje ... he he susa wenzio wala.
  • Kuwa mchoyo.. unakuta mwanaume ni mchoyo kiasi kwamba hata kuhudumiana ni tatizo... mwanume pesa yako vitu vyako ni tatizo sasa maana ya mimi kuwa mpenzio au mwili mmoja ni ipi kama unaniwekea demacation kwenye vitu vyako... yani hawa hadi kutoa mawazo ni kazi anaona utafaidi...
  • Mwanume mbahili yani hadi anaumwa au unaumwa kutoa hela ya kutosheleza matibabu hato ... yani sasa huyu wimbo wake wa kila siku utasikia sina hela.. hivi kutokuwa na hela ni sifa au ni uvivu basi tuone unafanya jambo la maana upuuzi mtupu
  • Mwanume kuendekeza pombe na marafiki yani unatoa kipao mbele rafiki zako kuliko mpenzio ukiona hivyo ujue huna future nzuri.... baadhi ya maandiko yanasema "ajifanyie rafiki wengi ni kwa uangamivu wake mwenyewe though rafiki anweza kuwa kama ndugu" tafakari.
  • Wivu uliopitiliza hapa wengi ni 25 na 30 sana hawa ndio tatizo utasikia baby tuma picha ... tuma picha unatuma bado tena tuma picha ... hivi niwaulize mnatengenezea movie hizo picha ni nini tatizo?...

muhimu: jitahidini kutafuta pesa kwa bidii na kufanya mazoezi ya viungo. siku njema rafiki

Thanks ,at least im above 45
 
Leo wameipata aisee kama 7-1 kwa brazil na grn hahahahhaha I salute you misschagga
 
Last edited by a moderator:
Unaamka asubuhi mtu umenuna anajua labda mood haijakaa tu sawa sasa hivi asubuhi hali hiyo inaendelea hadi jioni na kesho yake pia ukiulizwa jibu oghh! kila kitu kipo sawa hii hali ni kero pia.Muda mwingine unamwacha kwasababu unahisi anahitaji space ili afikirie mambo yake lakini jamani hiyo space week nzima muwe mnawafikiria na wenzenu.
jiananume la kununa nuna ni ushamba na mjinga pia mtu kakukosea mwambie... huna furaha sema leo sina furaha bosi kanitukana ili mimi nijue nakutreat vipi? umekuja umejinunisha unataka mimi nikusidiaje ... ukisema umekasirika kwa 1,2,3 na unatamani ufanyiwe nini naweza toa msaada... si umekuja umenuna mimi nikushike kiuno kumbe unahitaji kushikwa nywele muwe mnaongea...
 
Hakuna mwanaume mbahili katika jambo lake.....!!!

mmmh miss strong usiseme hivyo kuna wanaume anakupenda lakini hela yake ni shida utafikiria katoka au kujifanyia mambo ya maendeleo ni shida utafikiri katoka tumboni na hela.... yani huyo hata kuudumia mama yake ni shida acha kabisa omba wakupitie mbali.... wnawimbo wao SINA HELA
 
karibu mkuu

sasa miss chagga ni usawa gani mnaolilia nyie ? maana majukumu yote unayoyataja ni ya baba kwa mtoto sio kwa mwanamke yaani mwanamke hata afanye kazi bado atamtegemea mwanaume ili usawa uwepo kodi ya meza igawanywe kulingana na vipato kama kuna kodi ya nyumba vivo hivyo ada na mahitaji mengine yote yanayohitaji pesa sasa mwanamke hajulikani anafanya kazi au hafanyi hela zote kwwanaume tu ? labda mfumo dume unaopingwa urudishwe
 
Last edited by a moderator:
..ukiona mwanamke anaongelea pesa pesa mda wote, huyo ana matatizo na she needs counseling.
..maisha ni kiwajibika, haijalishi mwanaume au mwanamke. Ndio maana siku hizi hamna mzazi anayebagua watoto likija swala la elimu na kujiendeleza.

..chukua na ubebe majukumu yako, iwe kitandani, jikoni, sebuleni, kazini...popote pale. Take your responsibilities na sio kuangalia mwenzangu anafanya nini.
 
Mmmmh! mimi huwana naamini kitu kimoja labda leo mnirekebishe mwanamke huwa hamchuni mwanaume anayempenda . Sana anamuonea huruma ila kwa wale asio na upendo nao sasa ni shida sasa nyie mnaolalamika mnachunwa mjiulize mpo sehemu sahihi? huyo mtu unaemlalamikia anakuchuna yeye anakuonaje na kukuchukuliaje ?
 
mmmh miss strong usiseme hivyo kuna wanaume anakupenda lakini hela yake ni shida utafikiria katoka au kujifanyia mambo ya maendeleo ni shida utafikiri katoka tumboni na hela.... yani huyo hata kuudumia mama yake ni shida acha kabisa omba wakupitie mbali.... wnawimbo wao SINA HELA

Unawezaje kusema unampenda mtu halafu humjali??
Kuna watu ni bahili sana hata kwa mkewe aliyemweka ndani,kula nyama mpaka sikukuu lakini kwa hawara sasa anavyozimwaga usiseme.
Papuchi ina nguvu hata mama yako unaweza kumsahau.
 
Back
Top Bottom