Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Mambo wafanyayo wanaume yanayokera

Hahahaha kaka akushaoa si wako tena.....kama hukumtumia alipokuwa hajaoa ndo umechelewa hivyooo

kumbe niko sahihi eeeeh kaka zangu sita hadi sometime nawaonea huruma
Ntuzu zamani ananimention popote siku hata likes hanipi lol
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha kaka akushaoa si wako tena.....kama hukumtumia alipokuwa hajaoa ndo umechelewa hivyooo

kumbe niko sahihi eeeeh kaka zangu sita hadi sometime nawaonea huruma
Ntuzu zamani ananimention popote siku hata likes hanipi lol
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha kaka akushaoa si wako tena.....kama hukumtumia alipokuwa hajaoa ndo umechelewa hivyooo

kumbe niko sahihi eeeeh kaka zangu sita hadi sometime nawaonea huruma
Ntuzu zamani ananimention popote siku hata likes hanipi lol
 
Last edited by a moderator:
kumbe niko sahihi eeeeh kaka zangu sita hadi sometime nawaonea huruma
Ntuzu zamani ananimention popote siku hata likes hanipi lol

Uko sahihi sana kuliko kuanza kuvutiana midomo na wifi zako utadhani wakewenza. Hizo mention wakat wako ulishaisha
 
Last edited by a moderator:
tumepata wifi anakabahadi penati lol

Wifi yetu kwa kaka Ntuzu?Muache tu amkabe si unamjua kaka yetu nae?By the way mbona siku hizi hata hanishirikishi mambo yako yani nayasikia kupitia kwa watu sio vizuri
 
Last edited by a moderator:
Wifi yetu kwa kaka Ntuzu?Muache tu amkabe si unamjua kaka yetu nae?By the way mbona siku hizi hata hanishirikishi mambo yako yani nayasikia kupitia kwa watu sio vizuri

mmmmmh yapi hayo honet
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha mtoto wa boksi. Mungu atuafu na hayo. Naangalia mtoto asieweza kujieleza/kuashiria. Ispokuwa tu ni dharura, baba hatakiwi kubaki nae. Wala si mfumo dume. Ni bailojia tu mamaangu. Wababa wameharibu sana watoto kisa wamama siku hizi kung'ang'ania haki sawa hadi kwenye yaliyo ya msingi. Huzuni!!

mh! wababa hata mbuzi na mbwa wanajisevia siku hizi. Hao wanyama nao tuwabebe migongoni tukitoka? Mungu atuafu tu na hayo.
 
Unaamka asubuhi mtu umenuna anajua labda mood haijakaa tu sawa sasa hivi asubuhi hali hiyo inaendelea hadi jioni na kesho yake pia ukiulizwa jibu oghh! kila kitu kipo sawa hii hali ni kero pia.Muda mwingine unamwacha kwasababu unahisi anahitaji space ili afikirie mambo yake lakini jamani hiyo space week nzima muwe mnawafikiria na wenzenu.


mhh Dada inaonesha umeguswa Sana

pole
 
basi mnajielewa sasa siku hizi zidi ya kuomba pich hamna jipya


I love you honey

bila pic yako siku haiendi...


nilivyokumiss sasa na hizi genye utakoma mwenyewe tukionana

love you mwaaaah
 
Back
Top Bottom