ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,474
- 119,181
Umegeuza maneno....mwanzo ulisema huwezi kumuhudumia mwanamke asiye mke wako...kwan hapa tunaongelea wanaume tunaokutana nao barabarani?
hahaha!! Khantwe hukunielewa bhana!! Nilisema sitahudumia mtu asiyw na future na Mimi. Akiwa mchumba, kwa maana kuwa tayari process zote za kufahaniana na kutoa mahari zimekamilika, hapo sawa. Otherwise nitazidi kuwa kauzu. Hem' fanyeni kazi acheni kutegemea wanaume. Vijana wenyewe wamepigika maisha magumu.
Last edited by a moderator: